Mwanamke anatamaa mpaka nimemkimbia

Mwanamke anatamaa mpaka nimemkimbia

thebigbobo

Senior Member
Joined
Sep 25, 2014
Posts
168
Reaction score
17
Kuna Mwanamke mmoja anasoma Uhasibu Hapa arusha siku ya kwanza alitaka jagi la kuchemshia maji nikampa kwasababu yalikuwepo mawili, siku ya pili akataka simu yangu ninayotumia nikakataa siku ya tatu akataka tisheti ya form six ya Tommy nikampa. Siku ya nne akataka hela ya saloon nikachomoa, sku ya tano anata hela ya shopping nikampa, siku ya Sita akaniambia nikiomba kitu simpi kwahiyo ataanza kuchukua bila kuomba. Nimeshituka amechukua tisheti za form six sita. Nimejidai nimeenda Dar ili kumkwepa. Wanajamii nimtoe vipi nduki! Huyu manzi
 
nawe ukienda kwake chukua bila kuomba, ngoma droo.
 
Ukicheka na nyani always utavuna mabua, wewe huyo manzi mchane bila hata ya kuchezesha kope
Mwambie hiyo tabia yake hujaipenda au kama nivije wee mlie ndumu tu,wewe ndo dereva bahna utafundishwaje na abiria kupiga honi

Yaani wanawake bahana sijui tuna nini mie sipendi mwanamke awe namijitamaa ya ajabu ndomana mwisho wasiku unakuta mtu analiwa papuchi kisa kanywa bia za watu kwa ajili ya tamaa
Badilikeni wanawake wenye tabia kaa izi sio poa walanini tamaa mbaya
 
Mbona hujatuandikia kuwa alipokuomba dudu ulimpa???
 
Kuna Mwanamke mmoja anasoma Uhasibu Hapa arusha siku ya kwanza alitaka jagi la kuchemshia maji nikampa kwasababu yalikuwepo mawili, siku ya pili akataka simu yangu ninayotumia nikakataa siku ya tatu akataka tisheti ya form six ya Tommy nikampa. Siku ya nne akataka hela ya saloon nikachomoa, sku ya tano anata hela ya shopping nikampa, siku ya Sita akaniambia nikiomba kitu simpi kwahiyo ataanza kuchukua bila kuomba. Nimeshituka amechukua tisheti za form six sita. Nimejidai nimeenda Dar ili kumkwepa. Wanajamii nimtoe vipi nduki! Huyu manzi

Pole kaka yangu .
 
Kuna Mwanamke mmoja anasoma Uhasibu Hapa arusha siku ya kwanza alitaka jagi la kuchemshia maji nikampa kwasababu yalikuwepo mawili, siku ya pili akataka simu yangu ninayotumia nikakataa siku ya tatu akataka tisheti ya form six ya Tommy nikampa. Siku ya nne akataka hela ya saloon nikachomoa, sku ya tano anata hela ya shopping nikampa, siku ya Sita akaniambia nikiomba kitu simpi kwahiyo ataanza kuchukua bila kuomba. Nimeshituka amechukua tisheti za form six sita. Nimejidai nimeenda Dar ili kumkwepa. Wanajamii nimtoe vipi nduki! Huyu manzi

hapo kimbia faster
 
Back
Top Bottom