Mmmm napita jamaniAaaah lile uliloninunulia?
Mmmm napita jamaniAaaah lile uliloninunulia?
haswa darling....
Mmmm napita jamani
Mmmm napita jamani
Tshirt ya form 6 ya Tommy ndio tshirt ya namna gani?
Ile Anayopenda kuivaa JERRY
Jerry yupi huyo?
Wale mapacha tom n jery katuni
Kuna Mwanamke mmoja anasoma Uhasibu Hapa arusha siku ya kwanza alitaka jagi la kuchemshia maji nikampa kwasababu yalikuwepo mawili, siku ya pili akataka simu yangu ninayotumia nikakataa siku ya tatu akataka tisheti ya form six ya Tommy nikampa. Siku ya nne akataka hela ya saloon nikachomoa, sku ya tano anata hela ya shopping nikampa, siku ya Sita akaniambia nikiomba kitu simpi kwahiyo ataanza kuchukua bila kuomba. Nimeshituka amechukua tisheti za form six sita. Nimejidai nimeenda Dar ili kumkwepa. Wanajamii nimtoe vipi nduki! Huyu manzi
kwahyo wale wanne uliowaoa mpaka mmoja akakulsha kitimoto wameachika??? huyu mpya nadhan au umeongeza watanoKuna Mwanamke mmoja anasoma Uhasibu Hapa arusha siku ya kwanza alitaka jagi la kuchemshia maji nikampa kwasababu yalikuwepo mawili, siku ya pili akataka simu yangu ninayotumia nikakataa siku ya tatu akataka tisheti ya form six ya Tommy nikampa. Siku ya nne akataka hela ya saloon nikachomoa, sku ya tano anata hela ya shopping nikampa, siku ya Sita akaniambia nikiomba kitu simpi kwahiyo ataanza kuchukua bila kuomba. Nimeshituka amechukua tisheti za form six sita. Nimejidai nimeenda Dar ili kumkwepa. Wanajamii nimtoe vipi nduki! Huyu manzi