Mwanamke anapotoa kauli hizi, JIHADHARI....!

Mwanamke anapotoa kauli hizi, JIHADHARI....!

Nakuunga mkono 100% , yote uliyosema yana ukweli mtupu. ILA KILA MWANAUME ASOMAYE HAPA AFIKIRI NA KUCHUKUA HATUA, KUJUA SIGN ZETU.
 
"Wewe endelea tu na hiyo tabia yako kwani kuna shida gani......??"
Maneno haya akiyatamka tu huwa naumia sana moyo wangu, nahisi kuibiwa mwenzenu.
 
nimeona nipaste hii maana sijaielewa kabisa kwani ASANTE ina maana gani bandugu? nisaidieni hapa. 8. Je kama mmeshindana katika jambo au umemkera katika jambo au mambo fulani, kutokana na tabia au mwenendo fulani, halafu akakumabia, 'asante sana,' itakuwa na maana gani? Hii ina maana umemkera kupita kiasi na bado wala hajajua akufanye nini. Hii ni toafauti na 'asante' ya kawaida. Mwanamke anapoongeza neno 'sana,' ujue umemkera hasa, kuliko unavyoweza kufikiri. Halafu kama baada ya kusema, 'asante sana,' anashusha pumzi kwa nguvu, ujue hali ni mbaya zaidi, bora unyamaze kwanza, hata radhi usiombe kwa muda huo, subiri apoe kwanza.....
 
Hiyo namba moja mi naona ina apply kwa wote...ME na KE. Frankly speaking nimeshakwaza na nimeshakwazika sana kuhusu hilo.

Huko kwingine huwa naishiaga kulia tuuu nikilia nikinyamaza hasira zangu zimeisha...kujibishana kugombana kumshika kiuno akuu...Ukiniudhi i wont argue sana sana nitajifungia chumbani nikutafakariii na automatically machozi hunitoka...baada ya hapo life goes on

Sasa ni juu yako kujisachi na kujiuliza na kujipanga how are you going to handle me coz silence kills u know

natamanije ningekumiliki???
 
Mkuu Mtambuzi, kabla sijaendelea kusoma comments nyingine, umetoa suluhisho la hiyo makitu?

kwa maoni yangu suluhisho mujarab ni kumridhisha kitandani tu, yaani hapo hakuna kununiana wala nini, utashangaa mwenyewe!

CC snowhite
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom