Mwanamke anapotoa kauli hizi, JIHADHARI....!

Mwanamke anapotoa kauli hizi, JIHADHARI....!

Mtambuzi, mie huwa napenda sana nimuone mwanaume akisulubika kwa ajili yangu.....
Aidha asulubiwe na mimi mwenyewe au na mtu mwingine vyovyote vile.
 
Last edited by a moderator:
Hili jicho limejaa mahaba banaaa...halina hasira hata chembe.


black-woman-natural.jpg


kama ukijikuta unatazamwa kwa jicho la namna hii, MAJANGA.....
 
Sasa hizi mbona ziko tofauti?Basi zitakuwa lugha za wanawake ni za majini!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kwangu mimi yako sawa kasoro no 1, mimi huwa napenda sana kutunza mda, hata kama nina miadi na wewe uwe mkweli kuhusu mda ukiniambia utakuja baada ya dakika 10, zikifika 15 naondoka huwa naongeza dakika 5 tu za uvumilivu.
 
Mengi ni ya ukweli mi kama nikisema dakika moja tu ujue
ndo nakuwa namalizia kujiremba which obvious sio dakika moja tu

we endelea means I dont like kile unafanya at all ni bora uache tu
 
hiyo namba moja mi naona ina apply kwa wote...me na ke. Frankly speaking nimeshakwaza na nimeshakwazika sana kuhusu hilo.

Huko kwingine huwa naishiaga kulia tuuu nikilia nikinyamaza hasira zangu zimeisha...kujibishana kugombana kumshika kiuno akuu...ukiniudhi i wont argue sana sana nitajifungia chumbani nikutafakariii na automatically machozi hunitoka...baada ya hapo life goes on

sasa ni juu yako kujisachi na kujiuliza na kujipanga how are you going to handle me coz silence kills u know
sasa unanilia surual za nini? Wachana nazo
 
Right off the bat...

Prince Charles majuzi katoka kumuangalia mjukuu wake, nje ya hospitali kakuta kundi la "royal watchers", kawaambia mtoto atatolewa nje "in a minute".

Watu wamesubiri takriban nusu saa ndo wakamuona mtoto.

Last time I checked Prince Charles mwanamme.
 
. Yaani Mtambuzi umeongea yote i wish wanaume wanaosoma hapa wayaweke kichwani hakuna uloliacha au ambalo hakuna ukweli

Mwenye masikio atakua keshasikia
 
Last edited by a moderator:
profesa Mtambuzi in house...haya bana tumekusoma na tunaendelea kuwajuwa!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ahsante kwa utafiti huu. Unajua Mtambuzi bila wanawake huu ulimwengu ni vigumu sana kuishi, Maana kama kuna shughuli yoyote wanawake ni wa kwanza. Kwa maana hiyo haiwezi kupita siku bila kuzungumzia mwanamke na kwa kweli hizo ndizo tabia zao, kwa hiyo lazima tuishi nao kwa tahadhari kubwa ili maisha yaende sawa
 
Back
Top Bottom