Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 12,173
- 25,545
Ni kweli mkuu.You dont wanna be on the losing side.
Ni kweli mkuu.You dont wanna be on the losing side.
Wake zangu wamenituma niulize una mpango gani na mimi? Bado kuna nafasi 1😁Mume wa mtu siwezi kuwa na mpango nae wowote 😂😂
Wake zangu wamenituma niulize una mpango gani na mimi? Bado kuna nafasi 1![]()
😁😁😁😁😁khaa! Waambie sina mpango wowote wao waendelee tu.
NdioKama yule au sio!
Ndio kakukatalia?Nataka kumuoa
Nafikiri atakuwa anaongelea ndoa/mstakabali wa mahusiano yenuHivi wanakuwa wanamaanisha kitu gani?
Bora green light , hiyo ni yellow mpaka anauliza ameona kuna kitu pengine hakiko sawa au hakuna mwelekeoHapo umepewa greenlight anza kuandaa hela za saloon na vocha.
Mke wa ntu sumuMi Kuna mmoja nimemsaidia jambo dogo tu alafu ni mke wa mtu anasema anataka anipe zawadi ya kudumu.....Sasa sijataka kumuuliza zawadi ya kudumu ni ipi
Japo malaika kitengo Cha kuzimu washanidokeza
Tunataka haki sawa, sio sahihi kuchezea uvulana wangu. Mnapochezea uvulana wa mtu huwa anaumia mno na kububujikwa na machozi. Maumivu ni makali, hasa maumivu ya kisaikolojia na inaathiri afya ya akili.Kuna wanaume nao wanamind kuchezewa 😂😂😂