Naona mbinu zimekuishia, nipatie namba ya huyo demu nianzie upoishia kwa kuanza nitampangia nyumba.
Akili yako kama avatar yako. Inawezekana na yeye anasoma post hii sasa sijui unafanya nini.
ivi ili uamini kua anakupenda lazima m do?
hapo nahisi unataka kumfanya project nyingine tu
Hizi hadithi nyingine bwana. Wewe na miaka yako yote 30 unasumbuliwa kichwa na ishu ndogo kama hii?
mkuu trust me kuna watu kumake decision ya vitu vidogo huwa hawawez had unabak kushangaa, ila ninachoamin kwa tathmini yangu people zilizokulia maisha ya changamoto ndo huwa zinatatua mambo kuliko wale walokulia free of changamoto life, trust it
vipi mnafungua lini shule!