ndugu yako
Senior Member
- Mar 30, 2013
- 193
- 97
- Thread starter
- #21
ukitoka kazini uwe unampakata...unamuogesha....hakikisha akinya unamchamba.....hapo atajiona yupo peponi...
eeh bado unadekeza
Umeskia ukitoka kazn nkienda choon............unipakateee......nijihic npo kwa shetan sawa
Hili somo wanaume wengi tunahitaji tuition
We piga usepe utamdekeza mke wako kwanza wanawake wa siku hiz waongo usipoteze muda ndugu yangu siku hizi tukipendana leo tunamalizana leo leo
Hili somo wanaume wengi tunahitaji tuition
Namdekeza mwanangu tu kwa sababu najua we ride and die together.
Wengine wajidekeze wenyewe.
Unaweza kumdekeza mtu huku huko kwenye mi social media ana wadekezaji wengine.
Huo ujinga sina muda nao.
Unadate na wasichana na siyo wanawake.