SK2016
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 8,077
- 13,951
Nimekuelewa sana boss.Babu yangu alinisihi kwamba mwanamke Ana masikio matatu, mawili juu moja Chini, wakati huo mwanaume Ana macho matatu na vichwa viwili,.kichwa kidogo kikisimama kikubwa hakifanyi kazi, na macho mawili ya juu uambukiza na la tatu kutaka kuona wakati limefichwa,
Akasema ukitaka mwanamke akuheshimu na kukusikiliza yazibue hayo masikio, ila jitahidi sana kuzibua vizuri la Chini maana ndo linamfanya mwanamke awe kwenye usikivu zaidi, sikio ilo hufichwa sana
Usemayo hata mimi niliambiwa na wazee wangu.