venchwa
JF-Expert Member
- Aug 5, 2016
- 2,223
- 3,169
Babu yangu alinisihi kwamba mwanamke ana masikio matatu, mawili juu moja chini, wakati huo mwanaume ana macho matatu na vichwa viwili,.kichwa kidogo kikisimama kikubwa hakifanyi kazi, na macho mawili ya juu uambukiza na la tatu kutaka kuona wakati limefichwa,
Akasema ukitaka mwanamke akuheshimu na kukusikiliza yazibue hayo masikio, ila jitahidi sana kuzibua vizuri la chini maana ndo linamfanya mwanamke awe kwenye usikivu zaidi, sikio ilo hufichwa sana
Akasema ukitaka mwanamke akuheshimu na kukusikiliza yazibue hayo masikio, ila jitahidi sana kuzibua vizuri la chini maana ndo linamfanya mwanamke awe kwenye usikivu zaidi, sikio ilo hufichwa sana