kibovu
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 661
- 686
Ndugu wana Jamvi poleni na majukumu,
Napenda mmshauri rafiki yangu kwa haya yanayoendelea katika mahusiano yake.Rafiki yangu ni mtendaji aliekuja masomoni kujiendeleza jijini Dar es Salaam. Siku moja akiwa ameenda kwenye harusi alikutana na msichana wakaanzisha mahusiano.
Msichana huyo anasoma chuo nae hapa jijini Dar es Salaam. Walianzisha mahusiano yao na msichna alikuwa anaishi kapanga Kinondoni mwanaume anaishi hostel.
Baada ya miezi sita za mahusiano yao dada alimuomba amlipie kodi huyo mwanaume akapigana akalipa kodi kwa mazumuni ya wawili hao kuishi pamoja.
Walihamia Sinza chumba na sebule master walikuwa wanalipa laki 9 kwa miezi sita.
Katika maisha yao ya kuishi pamoja kunasiku huyo dada alikuwa akimueleza wanakuja rafiki zake wa kike na hivo arudi hostell mara moja kiukweli jamaa alikuwa akifanya hivo lakini ilifikia mwisho alimzibiti huyo dada na kuanza huyo dada kuwakwepa rafiki zake wanaotaka kuja kutembea geto kwake.
Huyu dada anapenda sana kuiserch simu ya mpenzi wake na akiona namba tu ya mwanamke ni razima aifute.Jamaa kwa upande wake hapendi kumfatilia hivo vitu. Siku tano zilizopita kuna dada mmoja anasoma nae alimpigia huyo jamaa ilikuwa mida ya saa nne usiku jamaa akiwa anaoga yule dada aliipokea ile simu na kusema unasemaje mshenzi.
Kiukweli jamaa hakuipenda ile tabia alimueleza mkewe but mkewe alimjibu kwa mwanamke yeyote atakae piga usiku nitapokea.
Huyu mwanaume akikutana na rafiki yake wa kike hata chuo akipiga nao picha mwanamke ataongea sana, yeye akipiga picha jamaa hanashida.
Tokea aanze mahusiano na jamaa anamuhudumia kila kitu japokuwa wazazi wake walifariki but anaishi na kaka yake pia ana dada zake wenye kazi alishamuambia kaka yake sintakutaka hela ya matumizi tena.
Kunasiku walikuwa katika mazungumzo huyo dada alimueleza mume wangu nikianza kazi itanibidi niwe natuma kila mwezi laki moja nyumbani kwa kaka inayobaki ndo tunapanga matumizi.
Tukio la Leo ambalo ndilo jamaa ananiomba ushauri nikaona niwashilikishe wazee wenzangu tumshauri ushauri uliotukuka.
Kuhusu mgegedo jamaaaa mpaka amuombe tena sana mara anyimwe kwa kukadilia hupewa kama mara nne. Wanachumba self but mwanamke anapenda kuchemshiwa maji na kupikiwa pamoja na kufuliwa nguo hayo mambo nimemshauli wiki mbili zilizopita sasa hivi hayafanyi.
Leo wameamka asubuhi kitandani mnamo saa moja asubuhi baada ya kuamka yule mke wake akamueleza kwa nini jana ulichukia nilipo zifuta namba za hao wasichana?
Jamaaa alimjibu kwa upole mke wangu nimekupa uhuru wa kushika simu yangu unapoona chochote kibaya niulize sio ufute tu mke wake kwa hasira akamuambia chukua namba zao hizi hapa nilikuwa nimezisave kwenye simu yangu.
Jamaa akazichukua baada ya kuzichukua mwanamke akaanza kulia jamaa akaanza kumbembeleza msichana akaamka akaenda akaosha vyombo akaoga jamaa akaenda kuangalia kama kunamaji ndani akakuta hamna akaenda bombani akachochota akaoga alipoanza kupaka mafuta mke wake akiwa sebuleni akasikia anamuambia naenda nyumbani jamaa hakumjibu.
Jamaaaa anaomba mumshauri je ampigie simu kumuuuliza chochote na anafaa kuwa mke.
Napenda mmshauri rafiki yangu kwa haya yanayoendelea katika mahusiano yake.Rafiki yangu ni mtendaji aliekuja masomoni kujiendeleza jijini Dar es Salaam. Siku moja akiwa ameenda kwenye harusi alikutana na msichana wakaanzisha mahusiano.
Msichana huyo anasoma chuo nae hapa jijini Dar es Salaam. Walianzisha mahusiano yao na msichna alikuwa anaishi kapanga Kinondoni mwanaume anaishi hostel.
Baada ya miezi sita za mahusiano yao dada alimuomba amlipie kodi huyo mwanaume akapigana akalipa kodi kwa mazumuni ya wawili hao kuishi pamoja.
Walihamia Sinza chumba na sebule master walikuwa wanalipa laki 9 kwa miezi sita.
Katika maisha yao ya kuishi pamoja kunasiku huyo dada alikuwa akimueleza wanakuja rafiki zake wa kike na hivo arudi hostell mara moja kiukweli jamaa alikuwa akifanya hivo lakini ilifikia mwisho alimzibiti huyo dada na kuanza huyo dada kuwakwepa rafiki zake wanaotaka kuja kutembea geto kwake.
Huyu dada anapenda sana kuiserch simu ya mpenzi wake na akiona namba tu ya mwanamke ni razima aifute.Jamaa kwa upande wake hapendi kumfatilia hivo vitu. Siku tano zilizopita kuna dada mmoja anasoma nae alimpigia huyo jamaa ilikuwa mida ya saa nne usiku jamaa akiwa anaoga yule dada aliipokea ile simu na kusema unasemaje mshenzi.
Kiukweli jamaa hakuipenda ile tabia alimueleza mkewe but mkewe alimjibu kwa mwanamke yeyote atakae piga usiku nitapokea.
Huyu mwanaume akikutana na rafiki yake wa kike hata chuo akipiga nao picha mwanamke ataongea sana, yeye akipiga picha jamaa hanashida.
Tokea aanze mahusiano na jamaa anamuhudumia kila kitu japokuwa wazazi wake walifariki but anaishi na kaka yake pia ana dada zake wenye kazi alishamuambia kaka yake sintakutaka hela ya matumizi tena.
Kunasiku walikuwa katika mazungumzo huyo dada alimueleza mume wangu nikianza kazi itanibidi niwe natuma kila mwezi laki moja nyumbani kwa kaka inayobaki ndo tunapanga matumizi.
Tukio la Leo ambalo ndilo jamaa ananiomba ushauri nikaona niwashilikishe wazee wenzangu tumshauri ushauri uliotukuka.
Kuhusu mgegedo jamaaaa mpaka amuombe tena sana mara anyimwe kwa kukadilia hupewa kama mara nne. Wanachumba self but mwanamke anapenda kuchemshiwa maji na kupikiwa pamoja na kufuliwa nguo hayo mambo nimemshauli wiki mbili zilizopita sasa hivi hayafanyi.
Leo wameamka asubuhi kitandani mnamo saa moja asubuhi baada ya kuamka yule mke wake akamueleza kwa nini jana ulichukia nilipo zifuta namba za hao wasichana?
Jamaaa alimjibu kwa upole mke wangu nimekupa uhuru wa kushika simu yangu unapoona chochote kibaya niulize sio ufute tu mke wake kwa hasira akamuambia chukua namba zao hizi hapa nilikuwa nimezisave kwenye simu yangu.
Jamaa akazichukua baada ya kuzichukua mwanamke akaanza kulia jamaa akaanza kumbembeleza msichana akaamka akaenda akaosha vyombo akaoga jamaa akaenda kuangalia kama kunamaji ndani akakuta hamna akaenda bombani akachochota akaoga alipoanza kupaka mafuta mke wake akiwa sebuleni akasikia anamuambia naenda nyumbani jamaa hakumjibu.
Jamaaaa anaomba mumshauri je ampigie simu kumuuuliza chochote na anafaa kuwa mke.