Mwanamke aliyeitawala nyumba

Mwanamke aliyeitawala nyumba

huyo jamaa ni muoga sana, inatakiwa abihevu as a man
 
Kama wameamua kupendana kwa stail hiyo wacha waendelee, sabab kupendana kupo kwa stail nyingi pengine noa hii ndio staili yao
 
Huyo jamaa yako ndio wewe kumbe aisee...Pole sana...Ondoka hapo hamna maisha..yaani unatawaliwa na KE??
 
Yeye kabla yakuja kuomba ushauli alikuwa na majibu yake mwambie achague moja ya majibu yalio kichwani mwake maana kumshauli mtu kwenye mausiano ni kujitengenezea kitanzi mwenyewe
 
ndugu wana Jamvi poleni na majukumu. Napenda mmshauri rafiki yangu kwa haya yanayoendelea katika mahusiano yake.
Rafiki yangu ni mtendaji aliekuja masomoni kujiendeleza jijini dar és salaam. Siku moja akiwa ameenda kwenye harusi alikutana na msichana wakaanzisha mahusiano.

Msichana huyo anasoma chuo nae hapa jijini dar és salaam.
Walianzisha mahusiano Yao nã msichna alikuwa anaishi kapanga kinondoni mwanaume anaishi hostel.
Baada ya miezi sita za mahusiano yao dada alimuomba amlipie kodi huyo mwanaume akapigana akalipa kodi kwa mazumuni ya wawili hao kuishi pamoja.
Walihamia sinza chumba na sebule master walikuwa wanalipa laki 9 Kwa miezi sita.
Katika maisha Yao ya kuishi pamoja kunasiku huyo dada alikuwa akimueleza wanakuja rafiki zake wa kike na hivo arudi hostell mara moja kiukweli jamaa alikuwa akifanya hivo lakini ilifikia mwisho alimzibiti huyo dada na kuanza huyo dada kuwakwepa rafiki zake wanaotaka kuja kutembea geto kwake.

Huyu dada anapenda Sana kuiserch cm ya mpenzi wake na akiona namba tu ya mwanamke ni razima aifute.
Jamaa kwa upande wake hapendi kumfatilia hivo vitu.

Siku tano zilizopita kuna dada mmoja anasoma nae alimpigia huyo jamaa ilikuwa mida ya saa nne usiku jamaa akiwa anaoga yule dada aliipokea ile cm na kusema Unasemaje mshenzi .Kiukweli jamaa hakuipenda ile tabia alimueleza mkewe but mkewe alimjibu kwa mwanamke yyte atakae piga usiku Ntapokea.

Huyu mwanaume akikutana na rafiki yake wa kike hata chuo akipiga nao picha mwanamke ataongea Sana, Yeye akipiga picha jamaa hanashida.

Tokea aanze mahusiano na jamaa anamuhudumia kila kitu japokuwa wazazi wake walifariki but anaishi na kk yake pia ana dada zake wenye kazi alishamuambia kk yake sintakutaka hela ya matumizi tena

Kunasiku walikuwa ktk mazungumzo huyo dada alimueleza mume wangu nikianza kazi itanibidi niwe natuma kila mwezi laki moja nyumbani kwa kaka inayobaki ndo tunapanga matumizi.

Tukio lá Leo ambalo ndilo jamaa ananiomba ushauri nikaona niwashilikishe wazee wenzangu tumshauri ushauri uliotukuka. Kuhusu mgegedo jamaaaa mpaka amuombe tena Sana mara anyimwe kwa kukadilia hupewa kama mara nne. Wanachumba self but mwanamke anapenda kuchemshiwa maji na kupikiwa pamoja na kufuliwa nguo hayo mambo nimemshauli wiki mbili zilizopita sasa hivi hayafanyi


Leo wameamka asubuhi kitandani mnamo saa moja asubuhi Baada ya kuamka yule mke wake akamueleza kwa nini jana ulichukia nilipo zifuta namba za hão wasichana? jamaaa alimjibu kwa upole mke wangu nimekupa uhuru wa kushika cm yangu unapo ona chochote kibaya niulize sio ufute tu mke wake kwa hasira akamuambia chukua namba zao hizi apa nilikuwa nimezisave kwenye cm yangu jamaa akazichukua baada ya kuzichukua mwanamke akaanza kulia jamaa akaanza kumbembeleza dem akaamka akaenda akaosha vyombo akaoga jamaa akaenda kuangalia kama kunamaji ndani akakuta hamna akaenda bombani akachochota akaoga alipoanza kupaka mafuta mke wake akiwa seblem akasikia anamuambia e naenda nyumbani jamaa hakumjibu





Jamaaaa anaomba mmshauli je ampigie cm kumuuuliza chochote na anafaa kuwa mke.
Mkuu mke kabila gani? Kama myakyusa mwambie avumilie hamna namna
 
mwanamke anaanza vipi kukutawala kiasi hicho? tumia uanaume wako aisee hama kwenye mapenzi tumia hata ubabe kidogo tu kulinda status yako ya kiume, hataki badilika mwache aende kabla tabia haijamea mizizi utajuuta wewe.
 
Back
Top Bottom