Mwanamke aliyeitawala nyumba

Mwanamke aliyeitawala nyumba

Mbona kama unapenda kutawaliwa ila ni vile marafiki zako wanakuingilia ktk maisha yako binafsi na mpenzi wako!!
Wewe kama unaridhika na kutawaliwa basi ni heri tu muendelee kuishi.

Kuhusu kukufaa wewe ndio unajua kama anakufaa au la,na kama haujui basi muda wako wa kuoa na kuitwa mume bado.
Naona umemjibu ndugu msimuliaji...!
 
Sasa mbona unazunguka sana sema tu hilo janga ni lako mkuu tena ni janga kweli pole.
 
Mmetumia masaa mangapi rafiki yako kukueleza yote haya!!!!????

Huyu ni wewe wala si rafiki yako
 
story ni yakwako acha kuzunguka
kama mkaka hana mchepuko kweli basi amwache uyo dada hakuna mapenzi hapo
 
Mimi ni mkorofi jamani ila siwez kufuta namba za simu zake ila kuuliza ntauliza pia siwez muacha mume wangu aoshe vyombo wala afanye usafi,labda ajisikie kusafisha chumba chetu, huyo wifi yetu ni kiboko na ameshajua kua amemteka akili mpenz wake hivyo asipokua makini atampelekesha kama gari bovu
 
Ndo tatizo LA kuw na mahusiano na watoto wadogo!! Akili finyu..
Hawajui maisha
Hawana akili
Hawana pesa
Hawana busara
Hawana kipaji chochote
Hugo dawa yake n kumramba makofi... Kumpiga chini akajifunze mbele ya safari
 
Mmmmh japo ushauri wa mahusiano waga ni mgumu bt wacha me niseme inatosha kwa jamaa kuendelea kuwa mtumwa wa mapenzi..... Mwanamke anapima kina cha maji marefu kwa mguu so jamaa atulie tu kwanza apime nia ya huyo mwanamke amekusudia kweli kuondoka au la! na km kweli kaamua kuondoka basi yeye atulie aendelee na maisha yake coz iyo itakua si ridhiki yake
 
Boss mshauri ndugu yako awe MWANAUME aache uzombi!
 
Ukiskia mume bwege ndo huyo.
Hivi unaanzaje kumpisha mchumba/hawala yako abaki na rafiki zake kwako, tena ni chumba na sebule istoshe ni self zen ww unaenda kukaa hostel kwa muda?
Kuna ajenda gan ya siri apo inafanyika?
N.B kuzaliwa wa kiume ni jambo moja na kuact as mwanaume ni jambo lingine.
 
Wanachuo wa level gan aisee. Wanaoweza kulipa kodi laki 9 kwa miezi 6
 
hilo penzi la kijeshi kuruta anapiga saluti.Akifosi atapigwa teke la huku kwa babu.
Hamna mke sheikh aache tamaa.
Atumie akili kufikiri .
 
Hiii ni hadithi au stori ya kweli, hizi tamthilia zenu za Marichui achane bwana
 
Back
Top Bottom