Utotole
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,608
- 4,265
Utathibitishaje kwamba ni wanao kama haukuwazaa?Unapima. Na dna test haifanyikii bongo. Sampuli zinatumwa marekani baada ya kuwa collected hapo hapo kwenye ubalozi. Tanzania inaheshimika mno kwa kufoji, lol
Sio kwa ajili ya ukimbizi tu. Ukipata uraia kwa sababu yoyote ile na ukataka kuchukua wanao ambao haukuwazaa marekani ni lazma uthibitishwe kama kweli ni wanao.