francis kibiki
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 477
- 516
Kwenye mahusiano baina ya mwanamke na mwanaume wanaume mnapotoka sana ili neno la kusema "unapendwa" oooh sijui yule mwanamke anakupenda tangu lini mwanamke akakupenda wew mwanaume, mwanamke anaheshim tu.
Biblia takatifu yenyew imethibitisha ivo, mwanamke akikwambia anakupenda uyo ni mnafki, mwanaume ndo kaumbiwa kupenda. ova
Biblia takatifu yenyew imethibitisha ivo, mwanamke akikwambia anakupenda uyo ni mnafki, mwanaume ndo kaumbiwa kupenda. ova