mrKey Milly
Member
- Dec 15, 2016
- 29
- 24
Hapana sioNdio mpenzi wako huyo?
NoNgoja kwanza hiyo picha ni yako?
Hahahahahaa goodNi kweli sijawahi danyanya mtu nampenda, na hata kama simpendi nikiwa naye najikuta nampenda na na mthamini
It is true madam? Bac ww tofauti na miss chagga yeye pesa kwanzNi kweli sijawahi danyanya mtu nampenda, na hata kama simpendi nikiwa naye najikuta nampenda na na mthamini
Lohhhhhh mwanangu mbona povu linakutoka hivyo??[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Wanawake wa zamani sio hawa wa kisasa wavaa mawigi,wavaa suruali za kondom matapeli usipime
Hata yangu siyo fake mweeeeh!!Dah! Mwanamke mrembo sana, kiukweli ni mzuri. Tatizo la mapichapicha ya jf, sijui yana"dounlodiwa" toka sayari gani.
Picha za avatar ni fake, picha za ku-support habari zote ni fake.
Picha ya ukweli kwenye avatar Jf nzima ni ya miss natufuta pekee. Nampongeza sana Miss.
ha ha umeshawahi muona ukaamin ni yy yule wa kwe avatar yakeDah! Mwanamke mrembo sana, kiukweli ni mzuri. Tatizo la mapichapicha ya jf, sijui yana"dounlodiwa" toka sayari gani.
Picha za avatar ni fake, picha za ku-support habari zote ni fake.
Picha ya ukweli kwenye avatar Jf nzima ni ya miss natufuta pekee. Nampongeza sana Miss.
Safi Sanaata mm nikikupenda nimekupenda kweli, kwa nn umtese mwenzio kama huna mapenzi nae!