Ukiupata upendo wa kweli utunze na kuulea vema,uzuri wa macho hudanganya ila upendo hudumusasa mara nyingi utakuta huyo mwanamke mwenye mapenzi ya kweli kwako, "physically" unakuwa hujavutiwa na huyo mwanamke, ila kwa ajili ya uchu unasema aah ngoja nimgonge tu kwa muda nipunguze nyege..... for eg mimi mademu waliokuwa na mapenzi ya kweli kwangu hawakuwa warembo kabisaaaaaaa belionea Heaven Sent Valentina
U r wrong bro!Tatizo wanawapenda watu flan heve jeuri, mi uwa nadhan ili mwanamke akupende labda umcheat sana, jifanye you dont care, mlize kila siku yaan apo huwa awaondoki
Uki jifanya a nyc man, imekula kwako
Watu wengi wanacheat.Hata hivyo haimaanishi kila mtu anacheat.Hata kama wanaocheat ni 90% bado 10% ni watu wengi tu ambao hawacheat.Ngoja niweke sawa hii....cheating inapunguza tamaa za kutaka kufanya ngono na kila mwanamke umuonaye. Nani asiyecheat dunia hii?
sasa mara nyingi utakuta huyo mwanamke mwenye mapenzi ya kweli kwako, "physically" unakuwa hujavutiwa na huyo mwanamke, ila kwa ajili ya uchu unasema aah ngoja nimgonge tu kwa muda nipunguze nyege..... for eg mimi mademu waliokuwa na mapenzi ya kweli kwangu hawakuwa warembo kabisaaaaaaa belionea Heaven Sent Valentina

itafikaUmeona eenh...maana uko upande waohuu uzi utachangiwa na wanawake wengi sana
Valentina,U r wrong bro!
Unavyomtreat mwanamke vizuri vinamuongezea mshawasha kukupenda zaidi....
Hapa nazungumzia mwanamke anaeelewa kupendwa na kupendeka...
When a man is too nice he can be boring😳😛😛 Bad boys are full of adventures
Ukishaona mahali hupendwi achia ngazi tu,maana utaumia bureValentina,
thanks nme elewa
Ila experience ime nifundisha vile nlovo sema, wana wake wengi wanakuwa ba wrong guys
Kwanini mnatukubali sana bad boys?
jina lako hua nalifanansha na la Sky Black
Sounds life fairy tale to meI wish some men could open their spiritual eyes and see it well for those women who truly love their men .. This would help them to stop lie , cheating , being violent and etc.. Thanks..