Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,729
Msalimie Kojo mwanawane!Mwanamke aliyekupenda ukimuudhi na akikasirika anakasirika kweli.
Msalimie Kojo mwanawane!Mwanamke aliyekupenda ukimuudhi na akikasirika anakasirika kweli.
Am bad boy aka king kong you know?When a man is too nice he can be boring😳😛😛 Bad boys are full of adventures
Ka=kwaMleta mada asante sana. Wanawake wanapenda kweli ka dhati ila shida kubwa wale wanaopenda kwa dhati na uaninifu wa wali ya juu ukiwaudhi imekula kwako. Watavumilia wee ila siku akimau kukung'ita majivu ujue ndiyo mwisho wake na wewe. Ukijua mke au mpenzi wako mwanamke anakupenda basi mpende kwa dhati na mahusiano utayafurahia.
Are you the one? Or the follower?Mashallah very nice!!! nimeipenda sana...
The problem is women don't see men who truly love them but follow who truly deceive them.I wish some men could open their spiritual eyes and see it well for those women who truly love their men .. This would help them to stop lie , cheating , being violent and etc.. Thanks..
It doesn't matter ....Are you the one? Or the follower?
From a man perspective; I understand that I ought to love my wife however the hardest part is for my wife to accept that love the way I love her.I wish some men could open their spiritual eyes and see it well for those women who truly love their men .. This would help them to stop lie , cheating , being violent and etc.. Thanks..
Cheating ni muhimu katika jamii....kwa mila za kwetu inaitwa nyumba ndogo na ni halali kuwa nayo kwani kunapunguza uashereati wa kuwa na tamaa za kuchapa kila mwanamke. Ukiwa na nyumba yao ndogo, akili inatulia na ufanya kazi kwa ufanisi Zaidi ofisini, stress zinapungua, nyeto ndiyo kabisaaa inasahaulika, mawazo ya kufila kuku au mbuzi yanatoweka, unabaki kuwa mtu wa Amani tu na furaha.
so what? may be this will help me to justfy you....It doesn't matter ....
Well said. Mm najisikia ufahari pale mwanamke anaponiheshimu na ndio unakuwa mwanzo wa kumuwazia memamapenzi peke yake hayatoshi kutunza mahusiano! yana sababu kubwa ya kusamehe, kujali, kuhifadhi nk ila kila changamoto inatatuliwa na mapenzi! na wanawake wengi hawafahamu wanaume hawahitaji mapenzi kama wanavyohitaji heshima, wakipata heshima nao ndo wa anza kukupenda!
Ata maandishi yanasema "wanaume wapendeni wake zenu na wake waheshimuni wanaume zenu" yani manake... kama ilivyo ngumu mke kumheshimu mme basi ndo ilivyongumu mume kumpenda mke..