Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 4,903
- 15,998
Ndio kitu pekee unachofanya sasa, hapo unadhani kazi yako wewe ni ipi?Kwani kutafuta Kazi ni KAZI..?
Ndio kitu pekee unachofanya sasa, hapo unadhani kazi yako wewe ni ipi?Kwani kutafuta Kazi ni KAZI..?
Sasa kutafuta kazi inaingiza kipato..?Ndio kitu pekee unachofanya sasa, hapo unadhani kazi yako wewe ni ipi?
Mimi namwambia kuwa nasubiria teuzi hivi karibuni!!!Ndugu zangu
Unapo mpenda mdada pasi na kujali anafanya kazi au hafanyi, pasi na kujali ni mzuri au sio mzuri , pasi na kujali ni tegemezi na masikini sana, pasi na kujali anatokea kwenye himaya tajiri ila moyo umemuangukia unaamua kumtongoza kwa moyo mmoja na kwa upendo wa dhahiri na dhati mno.
Shida inaanza pale mwanamke anapotaka kujua unafanya kazi gani ya kukuingizia kipato sijui nyie mna wajibuje.
Kwa upande wangu mwanamke nikimtongoza katika kudate date akisha niuliza tuu nafanya kazi gani najua hapa ni kupigwa vizinga au kukimbiwa kabisa inategemeana na nitakavyo mjibu aina ya kazi ni nayoifanya
Je, nyie mnawajibuje hawa viumbe wakiwauliza mnafanya kazi gani?
Ndio hapo sasa..unaona jinsi ilivyo kazi usipokua na kazi.???πSasa kutafuta kazi inaingiza kipato..?
ππππ
Sasa hapo wewe ni bora udanganye..Ndio hapo sasa..unaona jinsi ilivyo kazi suipokua na kazi.???π
Tatizo ukidanganya ni suala la muda tu. Na ukisema ukwel napo mtihani.Sasa hapo wewe ni bora udanganye..
Sio kusema unatafuta kazi maana anayetafuta kazi na ambaye hana kazi ni the same ππππ
Dunia haina huruma. Unalipwa kwa jinsi unavyojipa thamaniTatizo ukidanganya ni suala la muda tu. Na ukisema ukwel napo mtihani.
Bora uwe mkweli kuwa sina kaz ila kazi yangu pekee kwa sasa ni kutafuta kazi.
Na hii ni kazi kubwa maana maana unataliwa utumie pesa kufanikisha hii kazi
Huion kama ni kazi tosha ?
Umeongea kitu kikubwa sana na ni cha ukweli, naliona hili huko mtaani katika kila eneo kuanzia biashara , mahusiano na wengine (nje ya mapemzi) mpaka ajirani. Your value(that u create for urself) determines how worthy people be seeing youDunia haina huruma. Unalipwa kwa jinsi unavyojipa thamani
ππππ
Hapo ni uhakika anaweza kukwambia uende kwake akakupikie πMimi ni jobolesi kama Intelligent businessman sema yeye ni pro mac
Half american
Hapo umefurahi sasa
πππππππ
ExactlyKama unashindwa kuipa jina zuri kazi yako bas we ni tatizo π€£
imenigusa hii mmoja nilimwambia nafanya Kazi Tigo, Mwingine nafanya NBC Bank, bila hivyo nisingewapataNdugu zangu
Unapo mpenda mdada pasi na kujali anafanya kazi au hafanyi, pasi na kujali ni mzuri au sio mzuri , pasi na kujali ni tegemezi na masikini sana, pasi na kujali anatokea kwenye himaya tajiri ila moyo umemuangukia unaamua kumtongoza kwa moyo mmoja na kwa upendo wa dhahiri na dhati mno.
Shida inaanza pale mwanamke anapotaka kujua unafanya kazi gani ya kukuingizia kipato sijui nyie mna wajibuje.
Kwa upande wangu mwanamke nikimtongoza katika kudate date akisha niuliza tuu nafanya kazi gani najua hapa ni kupigwa vizinga au kukimbiwa kabisa inategemeana na nitakavyo mjibu aina ya kazi ni nayoifanya
Je, nyie mnawajibuje hawa viumbe wakiwauliza mnafanya kazi gani?
Hahaha siyo kila kazi inaingiza kipato, hata kazi za nyumbani ni kazi, ila haziingizi kipatoSasa kutafuta kazi inaingiza kipato..?
ππππ
Naam Mimi ni jobless pro max, na waki jiuliza hivyo, nawa ambia category yangu tuπ€Mimi ni jobolesi kama Intelligent businessman sema yeye ni pro mac
Half american
Hapo umefurahi sasa
πππππππ
Naam huja kosea, Mimi ni raisi wa majobless Africa nzimaπ€Usisahau kuweka reference kuwa "mimi ni jobolesi kama Intelligent businessman sema yeye ni pro"