Mustaphagentleman
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 3,953
- 3,032
Ndio wanaakuwa jeur majibu ya hvyo dharau hakusilikiz
Basi kama kakubali kosa na bado unamtaka usifanye hiana mrejee na muishi maisha ya furaha. Bora simba uliemzowea kuliko simba mwitu.Labda ndo uboya nilionao...nlikuwa nmemshiba sana....nna mazoea na girls wengne kirafiki ila cjawah mcheat yule mwanamke
Wakuu habari zenu, naomba kuuliza hv kwel mwanamke ambaye amekusaliti na akaomba msamaha kweli anaweza badilika asirudie tena?? Na hapo ni amekuwa na mpango wa kando kwa zaidi ya miaka mitatu unamkamata ndo anaomba msamaha![]()
Hiyo si ni mentality tu mliojiwekea...?! Mnatakiwa kufaham,maumivu ambayo wewe mwanaume unapata ukisalitiwa basi wanawake tunajisikia hivyo hivyo...Ndivyo, software zetu zilivyo. Mwanaume na mwanamke ni Tofauti kwenye hisia za kimapenzi.
Mwanaume kumpenda mwanamke haiishii kwenye mapenzi, bali pia domination. Yaani nakupenda, wewe ni wangu upo chini yangu. Katika Mali wewe ndiye exclusive property ya mwanaume. Tangu uumbaji wa Mungu imekuwa hivyo. Wanawake waliolewa wengi kwa mwanaume mmoja, lakini hakuna wanaume wengi waliooa mwanamke mmoja. Haiwezekani
Mmmh mkuu Mimi imenitokea Na Sasa ivi Nina mpango wa kumuacha kabisa Ni ngumu kuacha lazima watarudiana tu Na Mimi ex wangu tangia nilivyogundua yuko Na jamaa vituko haviishi nataka nimuachie jamaa kabisaWakuu habari zenu, naomba kuuliza hv kwel mwanamke ambaye amekusaliti na akaomba msamaha kweli anaweza badilika asirudie tena?? Na hapo ni amekuwa na mpango wa kando kwa zaidi ya miaka mitatu unamkamata ndo anaomba msamaha![]()
Hio Kali mkuuKwa kwel hana jibu maana hata yeye anaonesha kujuta...nilimbana akanambia hajui anahisi alirogwa...
Hahah..dawa ya Moto uwa Ni Moto.akikusalit nawe msaliti.Jamaa aache kukaa kindezi%1 kwenye %100
AiseeeeeMmmh mkuu Mimi imenitokea Na Sasa ivi Nina mpango wa kumuacha kabisa Ni ngumu kuacha lazima watarudiana tu Na Mimi ex wangu tangia nilivyogundua yuko Na jamaa vituko haviishi nataka nimuachie jamaa kabisa
Nimeweka wazi kuwa ni mpnz tu ila ni ambaye kwao wananifahamu na kwetu wanamfaham ila bado cjamchumbia...nilipanga kufanya hlo tukio December this year
Mpe mwongoza kwenye PmHahah..dawa ya Moto uwa Ni Moto.akikusalit nawe msaliti.Jamaa aache kukaa kindezi
Joanah hebu tupe uzoefu wako ktk hili!Binaadamu nature yake ni mabadiliko. . .
Kwa io kama aliweza kubadilika miaka mitatu ilopita akaanza ku-cheat, uwezo wa kubadilika akaacha upo pia
Jamaa anatia hasira uyu.yan kitu cha dak moja ye anakuja kutuomba ushauri et..Uyu jamaa sijui WA wapi tuMpe mwongoza kwenye Pm
Nikosa kubwa sana kumsamehe msaliti.. Huyo aweza atakukuua ukimuoa Mali akampa mchizi afu akasema karogwa kumbe ndo udelila... Fanya hivi kinachokuumiza ni mazoea Tafuta demi mkali zaidi yake ikiwezekana hongaa ufute maumivu maisha yaendelee unafamilia baba na mama wanakutegemea alafu we unaumiza kichwa kumsamehe msaliti.. Just move on na yeye kwake itakua fundisho akipata mwanaume mwingine hataeudia kosa.. So utakuwa umejenga sio kubomoa.Kusema ukwel namm ndo kinachoniumiza kichwa coz walikuwa wanashiriki kila kitu cha mapenz...na wakat huo mm npo wilaya nyingine ila najitahidi sana kumtembelea at least every weekend...halaf mbaya zaidi jamaa linanijua vzur