kijana wa leo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2011
- 2,976
- 7,299
Kuacha ni ngumu sana, nimewahi kutoka na mke wa mtu, siku moja baba mkwe wake akatufuma ndani saa sita usiku, mmewe alikua kasafiri, sasa ile natoka kwake nikakutana uso kwa uso na baba mkwe wake naye alikua amekuja kulikua na tatizo la kifamilia, yule mwanamke aliapa hatokuja hata kunitumia sms, nikauchuna tu baada ya miezi 6 tukaonana akaomba mechi nikampotezea akaaanza kusumbua, sina tym nae japo ananisumbua.
