Mwanamke akicheat anaweza badilika?

Mwanamke akicheat anaweza badilika?

Kusema ukwel namm ndo kinachoniumiza kichwa coz walikuwa wanashiriki kila kitu cha mapenz...na wakat huo mm npo wilaya nyingine ila najitahidi sana kumtembelea at least every weekend...halaf mbaya zaidi jamaa linanijua vzur
Walikua wanakufanyia masinema..
Yaani walikufanya mapicha picha...
 
kwa zaidi ya miaka mitatu???
ngoja ninywe kwanza juice ya miwa narudi tehe tehe tehe tehe
 
msamehe alafu muache tafuta mwingine unaeamini ni muaminifu kwako think twice
 
Cjui kama ananificha au lah...ila huwa nikimuuliza anaishia kulia tu na anasema hajui kwann kanifanyia vile! Anakimbilia kisema kuwa labda alirogwa....namm kwel sielewi
Mkuu.....
Wewe fanya maamuzi ambayo unahisi yatakua furaha ya moyo wako.
Usifanye maamuzi kwa kumuhurumia eti kwakua ukimuuliza analia, kumbuka kilio ndio silaha ya mwisho kwa hawa wenzetu Ke, na hivyo wanawake wanapenda kutumia kilio kama karata yao ya mwisho kila wanapo haribu mambo
 
Kaomba msamaha ndyo....na hata mpaka sasa bado anaomba msamaha ila nakuwa mgumu...coz 3 years sio mchezo...na mbaya zaidi ni kwamba huyo jamaa ananifahamu vzur
Yaani kinacho kutafuna na vile alivyokua akichapwa na dushe proper for three good years....
 
Kufanya kosa si kosa bali kurudia kosa ndio kosa, Ila mm huwaga sivumilii kosa moja mmbuyu chini
 
Nahisi huyu wang yupo kwenye namba 1...maana hata nikimuandikia sms asipojibu anaogopa sana....
Safi, ndiyomaana nikasema mchunguze. Kama ndivyo, msamehe. Na ili uweze kumsamehe fanya yafuatayo.

1. Kikubwa kabisa iaminishe akili yako kuwa kuna kitu si cha kawaida kilimfanya akufanyie hivyo.Mathalani
(a)Huenda uchawi ulitumika. Anafanya haya bila kujitambua. Na haelewi kwanini alifanya hivyo. Wewe ndiye umemzindua kutoka kwenye kifungo cha uchawi na sasa yupo huru.
(b)Kulitumika vitisho kwake ama kwa jaamaa zake, hivyo alifanya hayo kujiokoa ama kuokoa jamaa zake.Hawezi kukuambia haya, utambeza na kuona ni excuse isiyo na maana.
(c)Huyo bwana alikuwa ni ex wake. Akamwambia hana mpango wa kuoa. Akakupenda wewe akaogopa kukuambia kuna jamaa anataka tuendelee na sex bila Ndoa. Akajifanya yupo alone. Then jamaa akamjia na maneno mengi na vitisho pamoja na uongo kuhusu wewe. Akafanikiwa kuendelea nae.

2.Usitake kujua details zote za maisha ya kimapenzi waliyoishi nayo kwa miaka hiyo 3. Kufanya hivyo itakuumiza na hutaweza kumsamehe.
Kwa mfano akikueleza siku alizokuwa na jamaa guest house, utakuta kunasiku ulikuwa unaongea nae Kumbe yupo na jamaa. Hii itakuudhi.

3.Endelea na shuguli zako za kila siku ukiwa katika hali halisi, don't fake your identity, kama una huzuni ioneshe ili aweze kufanyia kazi hali hiyo. Kama vile kukuomba msamaha na kukubembeleza. Itasaidia sana.lakini siyo kwa kukumbushia mgogoro.

4.USIMSIMANGE.,please DON'T DO THAT. Msamehe kikweli na epuka kabisa mjadala huo. Lizikeni swala hilo. Body language inatosha. Hiyo ndiyo itamfanya kujuta kwa dhati na kutorudia. Ukimsimanga atajiona mkosefu, na hatakuwa na raha, hivyo ataamua liwalo na liwe.
 
Wakuu habari zenu, naomba kuuliza hv kwel mwanamke ambaye amekusaliti na akaomba msamaha kweli anaweza badilika asirudie tena?? Na hapo ni amekuwa na mpango wa kando kwa zaidi ya miaka mitatu unamkamata ndo anaomba msamaha
Mkuu kwani hio papuchi imeondoka? Wewe hujawahi kumcheat?
Kula mzigo huo acha kulalama tu
 
Fuata vile moyo wako unataka..Inner instinct yako tu. Ushauri wowote ambao si chaguo kutoka moyoni,always ni majuto mbeleni.

Halafu,sijawahi kuelewa..kwanini mwanaume aki-cheat,mwanamke ana'takiwa' kuwa mwepesi wa@ kusamehe...ila mwanamke aki-cheat inakuwa kama ni the biggest mistake in the world yaani hakunaga...why??
 
Safi, ndiyomaana nikasema mchunguze. Kama ndivyo, msamehe. Na ili uweze kumsamehe fanya yafuatayo.

1. Kikubwa kabisa iaminishe akili yako kuwa kuna kitu si cha kawaida kilimfanya akufanyie hivyo.Mathalani
(a)Huenda uchawi ulitumika. Anafanya haya bila kujitambua. Na haelewi kwanini alifanya hivyo. Wewe ndiye umemzindua kutoka kwenye kifungo cha uchawi na sasa yupo huru.
(b)Kulitumika vitisho kwake ama kwa jaamaa zake, hivyo alifanya hayo kujiokoa ama kuokoa jamaa zake.Hawezi kukuambia haya, utambeza na kuona ni excuse isiyo na maana.
(c)Huyo bwana alikuwa ni ex wake. Akamwambia hana mpango wa kuoa. Akakupenda wewe akaogopa kukuambia kuna jamaa anataka tuendelee na sex bila Ndoa. Akajifanya yupo alone. Then jamaa akamjia na maneno mengi na vitisho pamoja na uongo kuhusu wewe. Akafanikiwa kuendelea nae.

2.Usitake kujua details zote za maisha ya kimapenzi waliyoishi nayo kwa miaka hiyo 3. Kufanya hivyo itakuumiza na hutaweza kumsamehe.
Kwa mfano akikueleza siku alizokuwa na jamaa guest house, utakuta kunasiku ulikuwa unaongea nae Kumbe yupo na jamaa. Hii itakuudhi.

3.Endelea na shuguli zako za kila siku ukiwa katika hali halisi, don't fake your identity, kama una huzuni ioneshe ili aweze kufanyia kazi hali hiyo. Kama vile kukuomba msamaha na kukubembeleza. Itasaidia sana.lakini siyo kwa kukumbushia mgogoro.

4.USIMSIMANGE.,please DON'T DO THAT. Msamehe kikweli na epuka kabisa mjadala huo. Lizikeni swala hilo. Body language inatosha. Hiyo ndiyo itamfanya kujuta kwa dhati na kutorudia. Ukimsimanga atajiona mkosefu, na hatakuwa na raha, hivyo ataamua liwalo na liwe.
Thnx mkuu....i will try kama moyo wang utaridhia kumsamehw ntafanya hv
 
Mkuu kwani hio papuchi imeondoka? Wewe hujawahi kumcheat?
Kula mzigo huo acha kulalama tu
Labda ndo uboya nilionao...nlikuwa nmemshiba sana....nna mazoea na girls wengne kirafiki ila cjawah mcheat yule mwanamke
 
Cheating is a choice not mistake so kama ni choise atarudia tu
 
Fuata vile moyo wako unataka..Inner instinct yako tu. Ushauri wowote ambao si chaguo kutoka moyoni,always ni majuto mbeleni.

Halafu,sijawahi kuelewa..kwanini mwanaume aki-cheat,mwanamke ana'takiwa' kuwa mwepesi wa@ kusamehe...ila mwanamke aki-cheat inakuwa kama ni the biggest mistake in the world yaani hakunaga...why??
Ndivyo, software zetu zilivyo. Mwanaume na mwanamke ni Tofauti kwenye hisia za kimapenzi.

Mwanaume kumpenda mwanamke haiishii kwenye mapenzi, bali pia domination. Yaani nakupenda, wewe ni wangu upo chini yangu. Katika Mali wewe ndiye exclusive property ya mwanaume. Tangu uumbaji wa Mungu imekuwa hivyo. Wanawake waliolewa wengi kwa mwanaume mmoja, lakini hakuna wanaume wengi waliooa mwanamke mmoja. Haiwezekani
 
Back
Top Bottom