Mwanamke akicheat anaweza badilika?

Mwanamke akicheat anaweza badilika?

Wakuu habari zenu, naomba kuuliza hv kwel mwanamke ambaye amekusaliti na akaomba msamaha kweli anaweza badilika asirudie tena?? Na hapo ni amekuwa na mpango wa kando kwa zaidi ya miaka mitatu unamkamata ndo anaomba msamaha
Nadhani msamaha tu hautoshi cha msingi ujue kitu gani kilimfanya akachepuka nadhani ndo la msingi
 
Nadhani msamaha tu hautoshi cha msingi ujue kitu gani kilimfanya akachepuka nadhani ndo la msingi
Cjui kama ananificha au lah...ila huwa nikimuuliza anaishia kulia tu na anasema hajui kwann kanifanyia vile! Anakimbilia kisema kuwa labda alirogwa....namm kwel sielewi
 
Cjui kama ananificha au lah...ila huwa nikimuuliza anaishia kulia tu na anasema hajui kwann kanifanyia vile! Anakimbilia kisema kuwa labda alirogwa....namm kwel sielewi
mkuu ni vigumu kuwa hana sababu wanawake ni wasiri sana,anaweza kuwa hata na mtu wake toka kitambo anaogopa kukwambia maana utajua kama alianza mchezo toka zamani
 
mkuu ni vigumu kuwa hana sababu wanawake ni wasiri sana,anaweza kuwa hata na mtu wake toka kitambo anaogopa kukwambia maana utajua kama alianza mchezo toka zamani
Mbaya zaidi nilikuwa namiamini saaana na sura yake haifanani kabisa na tukio hili...na ana adabu sanaa. Cjui hata ni nn
 
Kaomba msamaha ndyo....na hata mpaka sasa bado anaomba msamaha ila nakuwa mgumu...coz 3 years sio mchezo...na mbaya zaidi ni kwamba huyo jamaa ananifahamu vzur
Ondoa hofu wewe msamehe (Samehe saba mara 70)
Mwambie nitakusamehe ila naomba unieleze kila kitu kuanzia mwanzo mpaka mwisho asikufiche kitu hata kimoja tangu alipoanza kucheat na mbinu zote alizotumia na pamoja na maneno aliyokuwa anaambiwa na huyo jamaa na mipango yake, wewe msikilize kwa umakini historia yote halafu msamehe.
 
Ondoa hofu wewe msamehe (Samehe saba mara 70)
Mwambie nitakusamehe ila naomba unieleze kila kitu kuanzia mwanzo mpaka mwisho asikufiche kitu hata kimoja tangu alipoanza kucheat na mbinu zote alizotumia na pamoja na maneno aliyokuwa anaambiwa na huyo jamaa na mipango yake, wewe msikilize kwa umakini historia yote halafu msamehe.
Nahisi nahitaji na maombi kwa ujasiri huu
 
Kwa kwel hana jibu maana hata yeye anaonesha kujuta...nilimbana akanambia hajui anahisi alirogwa...
Hilo Jibu huonekana la kijinga sana. Lakini ni kweli kuna watu huroga ili kumpata mtu.

Inawezekana pia alimchanganyia dawa za kulevya, akampiga picha akiwa uchi huku akifanya mapenzi nae, bila sura ya mwanaume kuonekana, kisha akampa vitisho kuwa asipoendelea nae angetuma picha kwako. Mwanamke kwa mapenzi kwako akaogopa, ikabidi aendelee kutoa unyumba. Hawezi kukuambia haya yote maana utamhoji mazingira ya yeye kufanyiwa hivyo

Hivyo, kugundua kwako huenda ikawa ndio msaada kwa mpenzi wako kuondokana na baradhuli huyo. Yaani badala ya kumhukumu tuangalie mazingira yote.

Hatahivyo, haya nayaongea nikiwa na akili timamu,kwasababu halipo upande wangu. Ningefanyiwa Mimi hivyo ingebidi nishauriwe na mtu mwingine.Mara chache saaana WANAUME HALISI HUSAMEHE KOSA LA KUCHEAT.
 
Huo ndo msemo wao sku zote kuwa walipitiwa na shetan..cjui nmelogwa lakin ukwel nikuwa huwez jiandaa hadi kujikuta unamvulia chup* mtu mwngine na ushirikano ukampa..hafu unakuja kusingizia hayo..Jasiri aachi asili..me naachana nae wapo wengi mbona
 
Msingi wa msamaha unaweza usiwe mapenzi aliyo nayo kwako, ila inawezekana kuna kitu/vitu unampa anahisi atavipoteza.

Ungesema umemfumania na mtu wa aina gani ingesaidia kujua na vitu/kitu cha aina gani hicho anachohisi atapoteza.

1) Kama wewe kapuku ila umemfumania na mtu anayejiweza. Basi inawezekana wewe ni SEX MACHINE alafu huyo kijeba uliyemkuta nae ATM MACHINE. Sasa inawezekana kinachomliza ni kupoteza Sex Machine yake.

2) Kama wewe unajiweza ila huyo kijeba uliyemfumania nae ni Kapuku. Basi wewe wewe ni ATM MACHINE na Huyo kijeba ni SEX MACHINE kwa hiyo kinachomliza ni anahofia kupoteza ATM Machine.

MUHIMU: ZAKUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO.
 
Hilo Jibu huonekana la kijinga sana. Lakini ni kweli kuna watu huroga ili kumpata mtu.

Inawezekana pia alimchanganyia dawa za kulevya, akampiga picha akiwa uchi huku akifanya mapenzi nae, bila sura ya mwanaume kuonekana, kisha akampa vitisho kuwa asipoendelea nae angetuma picha kwako. Mwanamke kwa mapenzi kwako akaogopa, ikabidi aendelee kutoa unyumba. Hawezi kukuambia haya yote maana utamhoji mazingira ya yeye kufanyiwa hivyo

Hivyo, kugundua kwako huenda ikawa ndio msaada kwa mpenzi wako kuondokana na baradhuli huyo. Yaani badala ya kumhukumu tuangalie mazingira yote.

Hatahivyo, haya nayaongea nikiwa na akili timamu,kwasababu halipo upande wangu. Ningefanyiwa Mimi hivyo ingebidi nishauriwe na mtu mwingine.Mara chache saaana WANAUME HALISI HUSAMEHE KOSA LA KUCHEAT.
Point muhimu kiongozii nikweli kabisa ni ngumu kwa mwanaume Halisi kusamehe kosa la kucheat
 
Back
Top Bottom