Ramea
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 2,146
- 4,090
Kombo, Mpokee YESU KRISTO awe Bwana na Mwokozi wako na utafunguka macho. Naona bado upo kwenye usingizi wa pono kwenye kiza kinene sana. Amka uje huku kwetu. Achana na chuki, matusi na uzushi wa kishetani. Njoo huku bado una nafasi nzuri tu.
Kombo huwa ana comment kwenye thread kama hizi tu. Debate zote za ukristo na uislamu anahangaika kama kawashwa -----. Comments zake zipo emotionally and not intellectually. Atamkataa Kristo Wakati Anamtumikia kila siku za maisha yake. Bila shaka kwenye kumbukumbu zake anauandika mwaka 2015 (Umri Wa Yesu siyo Muhamad) na Jumapili hafanyi kazi kuadhimisha ufufuko wa Yesu.