Mwanamke aeleza mateso ya Boko Haram

Mwanamke aeleza mateso ya Boko Haram

Eti mods ondoeni uzi huu.Linawaza dini wakati wenzako wanamtafuta Yesu wewe unagagana na dini ambayo haiwezi kuponya hata sisimizi

Yesu alishikwa na Boko Haram wake wakampa kipondo kisha wakamuwamba mtini ! Wakiristu walikaa siku 3 hawana mungu !
 
Hiyo ndo dini ya amani toka kwa Allah.
Hawataki elimu kwani kwao ni Haram.
Kuchinja,kuteka na kujilipua mabomu kwao ni kama kumung'unya pipi tu.
Endeleeni kuitetea dini yenu lakini huu ni ushahidi kwamba dini yenu inazalisha watu wants mioyo ya ukatili na wasio na ubinadamu.

Hiyo Nigeria, minority na wasio enda shule ni Wakiristu na ruling class ni Waislaam !
Fahamu hilo mgalatia The mountain lion na Wasomi wakiristu wa Tanzania wao wamehitimu wizi na rushwa !
 
Last edited by a moderator:
Yesu alishikwa na Boko Haram wake wakampa kipondo kisha wakamuwamba mtini ! Wakiristu walikaa siku 3 hawana mungu !

Yesu alikufa akafufuka siku ya 3. Je Mohamad toka amekufa leo ni siku ya ngapi mnaishi bila mungu wenu huyo.? maana quraan haijatuambia kuwa Muhamad amefufuka. Inakuwaje mnamuabudu mtu mfu?
 
Tunasubiri waislam watoe tamko juu ya hali hii. Waislam wa jf, ni nini mawazo yenu katika hili?

Tutatoa tamko tukijua anaye wauzia silaha na kuwapa pesa !
Wakiristu ndio watengeneza silaha
 
Yesu alikufa akafufuka siku ya 3. Je Mohamad toka amekufa leo ni siku ya ngapi mnaishi bila mungu wenu huyo.? maana quraan haijatuambia kuwa Muhamad amefufuka. Inakuwaje mnamuabudu mtu mfu?

Muhammad saw alikuwa mtu, alikula, alilala,aliumwa na alikuwa Baba mwenye watoto !
Yesu alilala, kula na kunya na alizaliwa kwenye zizi la ng'ombe !
Waislaam hatuabudu mtu !
 
Ndivyo mafundisho yanavyowaelekeza hivyo kwao ni tiketi ya kwenda kwa Allah
 
Muhammad saw alikuwa mtu, alikula, alilala,aliumwa na alikuwa Baba mwenye watoto !
Yesu alilala, kula na kunya na alizaliwa kwenye zizi la ng'ombe !
Waislaam hatuabudu mtu !

vipi muddy guy yeye alikuwa hanyi nini? au alikuwa anaharisha!?
 
Mwisho wa mambo yote umekaribia iweni na akili mkeshe kwa maombi na dua....., kila mtu na aabudu Mungu wake kwa uaminifu wote. Mungu yule atakaye simama kutoa hukumu siku ile ya mwisho/kiyama huyo ndiye Mungu wa kweli. Hakuna dini wala imani inayomwabudu Mungu wa kweli inayoruhusu kuua wala kumwaga damu ya mwenzako/ mwana wa adamu/ Mwanadamu awaye yeyote. Ni ile dini ambayo asili yake ni kwa yule mwovu pekee huua na kuangamiza roho nafsi na mwili wa mtu.
 
Hiyo Nigeria, minority na wasio enda shule ni Wakiristu na ruling class ni Waislaam !
Fahamu hilo mgalatia The mountain lion na Wasomi wakiristu wa Tanzania wao wamehitimu wizi na rushwa !

Aisee😕 kumbe hao majority wasomi ndio wamesomea kuteka watoto na kuwabaka??? Bila shaka hao ni wasomi wa Qur'an na sio elimu rasmi ambayo dini yenu inapingana nayo...

Cc FaizaFoxy, kahtaan..
 
Last edited by a moderator:
Muhammad saw alikuwa mtu, alikula, alilala,aliumwa na alikuwa Baba mwenye watoto !
Yesu alilala, kula na kunya na alizaliwa kwenye zizi la ng'ombe !
Waislaam hatuabudu mtu !

Kombo, Mpokee YESU KRISTO awe Bwana na Mwokozi wako na utafunguka macho. Naona bado upo kwenye usingizi wa pono kwenye kiza kinene sana. Amka uje huku kwetu. Achana na chuki, matusi na uzushi wa kishetani. Njoo huku bado una nafasi nzuri tu.
 
Back
Top Bottom