Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
yan tu sio kukosa pozi lazma atakuwa aliahirisha zoezi maana kwa hapo shughuli ya 5 kwenye nyasi si mchezositaki kuimagine vile huyo dada alikosa pozi
yan tu sio kukosa pozi lazma atakuwa aliahirisha zoezi maana kwa hapo shughuli ya 5 kwenye nyasi si mchezositaki kuimagine vile huyo dada alikosa pozi
hahahahahaaaa..uuwwiiii! ukichunguza kiundani huyo mwana mahesabu ni mchaga au ana element za uchaga..
Hao watakua mpare na mchaga wanajuana... wasikuumize kichwaJamani tucheke tu,msigombane,but i know you are just joking!
masikin dah................hahahaha! aliumbuka kwa kwelii.Hakuna cha maneno tena,ni huduma kwa kwenda mbele.
ha ha ha, usiogope siyo wewe kabisa.Sio mimi!!!! Mi naitwa MAHESABU huyo ni MWANAMEHESABU
yan tu sio kukosa pozi lazma atakuwa aliahirisha zoezi maana kwa hapo shughuli ya 5 kwenye nyasi si mchezo
Sio mimi!!!! Mi naitwa MAHESABU huyo ni MWANAMEHESABU
ha ha ha , mwanamahesabu noma gori tano(5) anazipigaje? yan hapo ni bandika bandua