nyumbakubwa-huyu anaongea kama mwanamke kamili aliyekamilika,wanaume wote wangependa kuwa na mke wa mtizamo wake,
gezaulole-anavyowakimbiza wakenya na majivuno yao utampenda,
nyani ngabu na kiranga-hawa ni mabingwa wa kusimamia misimamo yao,hawatikisiki ktk kutetea hoja zao na wanachokiamini,
kaunga na ashadii-wadada wenye staha,wana busara za kweli na hakika,kuna wakati natamani ningekuwa nafahamiana nao in the real world sio ki-jf,
asprin-anapenda sana kukagua vibinti vinapoingia jf,siku hizi ananichekesha sana na mikwara yake ya kubadili dini,hata hapa anaweza kuja na kusema nisingemtaja angebadili dini!lol,
the boss-huyu jamaa yeye ni mfalme wa kuongea maneno ambayo wanawake wanapenda kusikia,huyu jamaa ktk dunia ya kweli atakuwa hataree sana kwa wadada,
nzi-shabiki nguli wa man utd,watu wote watakimbia uzi wa man utd yeye atabaki pale daima
emt-jamaa ukisoma hoja zake utafikiri unasoma kitabu cha kitaaluma,nakukubali sana bro
mzizimkavu-amejaa maarifa mengimengi ya kila aina kila pande