Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Nilivutiwa sana na MOTOCHINI kwa jinsi alivyokuwa ana mtetea zzk baada ya kufukuzwa toka cdmNiliona kama mmemtenga hahaha
Nilivutiwa sana na MOTOCHINI kwa jinsi alivyokuwa ana mtetea zzk baada ya kufukuzwa toka cdmNiliona kama mmemtenga hahaha
Jinga lao mkuu upo mbona kimya ?@jinga laoJinga lao...... Kanivutia sana kwa mada za kipumbavu alizokua akixitoa!!
Ahsanta.Bila kumsahau mzee wa controversials, @kahtaan na mwenzake wa upande wa pili @Ishmael.
Pia @Mr Chin na @ Ocampo Four, bila kumsahau yule mwehu @Yericko Nyerere.
Tuliwadhibiti vilivyoDah! Mie Nyumbu kwa ujumla wao. Sijui walikuwa wanalipwaje kwani Hawa jamaa walikuwa hawalali aisee
Mcubic umesalimika na hatimae kuukwaa 2016?mungu ashukuliwe@Lizaboni @Mmawia @MOTOCHINI @Ben Saanane @MUSSA ALLAN @Pasco @Watu8 @Watu (huyu icon yake inaniacha hoi @Heaven on Earth na @Katavi