Kadutu Kapya
Senior Member
- Oct 24, 2015
- 122
- 26
Sisi raia wa nchi hii huwa tunafikiri jeshini ni sehemu yenye watu wa elimu ya kati kwa taarifa yako utakwenda huko kushangaa kwa watalamu walioko huko kwa kujiona kuwa wewe bado hujasoma hiyo taaluma yako