Mwanajeshi apigwa na Askari wa Usalama!

Mwanajeshi apigwa na Askari wa Usalama!

wacha mambo ya kizamani, unafikiri polisi wao hawakwenda depo

Mkuu mafunzo ya askari polisi hayawezi kulingana na wajeda miaka 800, wanajeda wanakuwa trained to kill, ilhali polisi hufundishwa kudisarm.
 
Teh teh teh haaa haaaa. Poleni sana vijana wenzangu kwa fikra mgando. Jamani hawa askari wetu hapa tz ni wa moja na wanaheshimiana sana ila hutokea askari wachache wenye akili mbovu kupigana hayo pia hutokea hata huku kwetu uraiani. Swala ni nani anaweza kumpiga askari mwenzake ni swala la mbinu na uelewa wa mapigano mfano ule ugomvi wa ubungo mataa trafiki alikuwa 1 wanajeshi 4 wakampiga lakini wakiwa wamefanya hivyo wakakamatwa gari zima yaani zaidi ya 20 tena na polisi wa4 tu mpaka polisi urafiki.
 
askari wa usalama barabarani eneo la makumbusho, dar wakimpiga dereva wa gari ambaye amejitambulisha kama mwanajeshi! tukio hili limetokea mida ya saa 9 mchana huu. Bado haieleweki chanzo ni nini.


bncdgqecmaekzup.jpg:large

ngoja waje makomandoo wakuvunja vitofa kwa kichwa
 
Pia tukumbuke kuna wanajeshi wangapi jela na walikamatwa na nani? Je unawakumbuka waliomuua mtoto wa fundikira je walikamatwa na nani?. Swala nani anajua kupigana ni swala la kimafunzo kama karate,boxing,judo kunfuu wote wanafundishwa ndiyo maana wote wanaclub za michezo hiyo. Je nani aliyezingatia masomo vizuri ndiyo atakayefanikiwa kimapambano. Pia kumbuka kuna kuviziwa mfano yule kamanda wa vita kule uganda aliuwawa na mkewe ambaye si mwanajeshi kabisa. Tuache ushabiki kabisa hawa walinzi wanapopigana
 
...ongeza picha bhana,mbona kama wanazoa limzoga la kuku aliyekufa...
 
Mh kisheria sijui kama inaruhusiwa kumpiga raia sema kwa vile watz hatujui sheria kama ni akitafuta wanasheria wanaweza msaidia hakuna aliye juu ya sheria lakini kwa tz hilo linawezekana .
Kweli mdau, iwe mjeda kweli au ni mjeda fake lakini kiukweli huwa sipendi huu utaratibu wa askari kuwa na mikono miepesi ya kupiga wakati kwenye vitabu tunaambiwa wao kazi yao ni kusimamia usalama wa raia na mali zao, yaani wakishajua umekosa hata kama hujaleta maneno yoyote lakini lazima wakati wanakukamata wakusukume sukume tu ili mradi wakuathiri kisaikolojia. Huyo alikuwa ana gari kilichotakiwa ni kumkamata na kama analeta za kuleta ndio nguvu itumike akilegea mnambeba, lakini askari wetu akiwa anagawa kipondo utasema hilo kosa amekosewa yeye tena kakunja na uso utasema ametukanwa wakati iliyovunjwa ni sheria ya nchi ambapo yeye askari kazi yake kuhakikisha watu wanaifuata na kama haifuatwi anapelekwa post kwa hatua zaidi. Hii inadhihirisha ile signature ya Nyani Ngabu ya MIAFRIKA NDIVYO TULIVYO
 
Last edited by a moderator:
‘’Ukileta fujo unapigwa, Wapigwe tu, Nasema tena wapigwe tu, maana tumechoka"…….Hon Mizengwe Punda.
 
tru aiseee apigwe kiboya boya na nahisi ata kipigo hcho amekipata baada ya kudanganya kuwa yeye mwanajeshi
 
tru aiseee apigwe kiboya boya na nahisi ata kipigo hcho amekipata baada ya kudanganya kuwa yeye mwanajeshi
Wapigweee maana wamezidi maana mara wapigeeraia mara trafik mara baar mkipata upenyo gonga kabisa hawa mbulula hakuna aliye juu ya sheri
 
hakuna mwanajeshi hapo bana
mwanajeshi asirushe hata ngumi moja
kujihami!!angekua poti hao askari
wangekua washatimua mbio aisee!!
 
kisheria ukiambiwa na askari uko chini ya ulinzi, ulitakiwa ufarijike. ila askari wetu akikuambia uko chini ya ulinzi ujue siku imeharibika!
 
Kumpiga askari jeshi ni kujitafutia matatizo.Wajeda wana ushirikiano wa hatari.Hawawezi kukubali hata siku moja mmoja wao adhalilishwe One for all,all for one
 
Umeandika nini sasa?
ww sasa unataka kutujazia Sever ya JF bure au ni ujiko wa kujiongezea idadi ya post
hapo kweli kuna mwanajeshi?
au huijui TPDF mpaka leo kungekuwa kimya hivi!!!!
BnCDgQECMAEkZup.jpg:large
 
Ila Nasikia Hao Hao FFU wamekimbia kituo huko Monduli baada ya kulikoroga kwa wajeda, kifupi tu ni Kuwa JWTZ ni Habari nyingine
Akili za kuambiwa changanya na za kwako, nani kakudanganya kuwa FFU wana vituo?
 
Back
Top Bottom