ntagunga
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 704
- 286
haya ni matokeo ya BRN ya Naibu wazir MulugoWewe ndio uwombe msamaha,kwanini umechelewa leta habari sahihi?
haya ni matokeo ya BRN ya Naibu wazir MulugoWewe ndio uwombe msamaha,kwanini umechelewa leta habari sahihi?
Wajiandae kuhama hapo Makumbusho maana siku si nyingi wataona the real definition ya JWTZ
Hata mimi nimefurahi wacha wamkomeshe c wanajifanya wapo juu ya sheria hao
JWTZ hawana uwezo Wa kusimama na trafiki. Maana nyuma ya trafiki kuna FFU, hao ndiyo kiboko ya JWTZ.
Wale FFU wenye kofia nyekundu wote wamefuzu JUDO na Karate....JWTZ wa kawaida hawezi kutia mguu...wale ndio husimamia hata ulinzi wa Rais, Ikulu na sehemu zote nyeti....tena siku hizi wanachukua waliofuzu JKT kwanza......
wewe jidanganye tu! JKT kuna kufuzu kitu gani kulima nyanya au kulima mpunga pale Ruvu.
Mafunzo ya Jkt 85% ni uzalishaji mali na 15 ndo uaskari. Ndo maana ukitoka jkt kwenda Jw lazima wakunyooshe kijeshi zaidi ya miezi 4 au 6.
Ndugu mtoa mada, tafadhari kabla ya kurusha issue fuatilia kwanza kiundani mkuu,
Issue ni hivi huyuu jamaa kasimamishwa akasimama vizuri ila akawa anaulizwa maswali ya usalama barabarani kama vile leseni, na mengine akajifanya anapotezewa muda yy ni mwanajeshi na police wakaomba kwanza kitambulisho hakuwa nacho, wakamuuliza mambo ya jeshi mf, kikosi gani hajui anatatanika..
Zaidi sana kumbe mdogo,mtt kama si lafiki wa mwanajeshi.ndipo akatumia nafasi hiyo kukiuka sheria ya nchi.
Ila kiukweli hakuna watu wanaheshimiana kama wanajeshi na Police maana mama na Baba yao mmoja..
Mleta mada omba msamaha jamii kwa uchonganishi, yule alikuwa Raia anayetumia jina la jeshi kukiuka sheria..
Ndugu mtoa mada, tafadhari kabla ya kurusha issue fuatilia kwanza kiundani mkuu,
Issue ni hivi huyuu jamaa kasimamishwa akasimama vizuri ila akawa anaulizwa maswali ya usalama barabarani kama vile leseni, na mengine akajifanya anapotezewa muda yy ni mwanajeshi na police wakaomba kwanza kitambulisho hakuwa nacho, wakamuuliza mambo ya jeshi mf, kikosi gani hajui anatatanika..
Zaidi sana kumbe mdogo,mtt kama si lafiki wa mwanajeshi.ndipo akatumia nafasi hiyo kukiuka sheria ya nchi.
Ila kiukweli hakuna watu wanaheshimiana kama wanajeshi na Police maana mama na Baba yao mmoja..
Mleta mada omba msamaha jamii kwa uchonganishi, yule alikuwa Raia anayetumia jina la jeshi kukiuka sheria..
safi sana mbona sikuwa hapo nishabikie wanajifanya wababe sana
Ndugu mtoa mada, tafadhari kabla ya kurusha issue fuatilia kwanza kiundani mkuu,
Issue ni hivi huyuu jamaa kasimamishwa akasimama vizuri ila akawa anaulizwa maswali ya usalama barabarani kama vile leseni, na mengine akajifanya anapotezewa muda yy ni mwanajeshi na police wakaomba kwanza kitambulisho hakuwa nacho, wakamuuliza mambo ya jeshi mf, kikosi gani hajui anatatanika..
Zaidi sana kumbe mdogo,mtt kama si lafiki wa mwanajeshi.ndipo akatumia nafasi hiyo kukiuka sheria ya nchi.
Ila kiukweli hakuna watu wanaheshimiana kama wanajeshi na Police maana mama na Baba yao mmoja..
Mleta mada omba msamaha jamii kwa uchonganishi, yule alikuwa Raia anayetumia jina la jeshi kukiuka sheria..
kakudanganya nani,tukio nimelishuhudia vizuri sana,jamaa alikua anatokea parking za millennium tower kuingia new bagamoyo road ndipo walipozinguana na trafick,amepambana na trafick vilivyo hata wakashindwa kumvalisha pingu,ndani ya gari ya jamaa kulikua na kina mama ambao ndo walimtambulisha jamaa kama ni mwanajeshi,hata hivyo hao kina mama hawakushuka kwenye gari.safi sana mbona sikuwa hapo nishabikie wanajifanya wababe sana
Hahahaahahah. Mwanajeshi akiwa mmoja hawezi kusimama uso kwa uso na teja mla unga, wengi si strong kiviile ! Na ukikuta mjeshi yuko strong huwa hawi mgomvi.