Mwanajeshi apigwa na Askari wa Usalama!

Mwanajeshi apigwa na Askari wa Usalama!

Kwa mtu mwenye akili lzma ujiulize kabla hujachangia, huyo kajitambulisha kuwa ye mwanajeshi nani kadhibitisha kama ni askari kweli? na pia askari wanaheshimiana tofauti na habari zenu hizi na magazeti,
 
Kwa mtu mwenye akili lzma ujiulize kabla hujachangia, huyo kajitambulisha kuwa ye mwanajeshi nani kadhibitisha kama ni askari kweli? na pia askari wanaheshimiana tofauti na habari zenu hizi na magazeti,

Be specific. Ni magazeti gani uliyoyakusudia?
 
Mbona picha inaonyesha kuwa wanamuweka tuu chini ya ulinzi ?
 
3 kwa 1 sio fair...


Wasuburi jamaa wakiwatafuta ratio itakuwa wanajeshi 50 kwa trafik 3
 
JWTZ hawana uwezo Wa kusimama na trafiki. Maana nyuma ya trafiki kuna FFU, hao ndiyo kiboko ya JWTZ.

Ila Nasikia Hao Hao FFU wamekimbia kituo huko Monduli baada ya kulikoroga kwa wajeda, kifupi tu ni Kuwa JWTZ ni Habari nyingine
 
Huku sasa ni kudharirishwa kwa JWTZ. Juzi kati tumesikia vijana wa JKT wametiwa adabu na FFU huko Arachuga leo tena timbwiri na mkong'oto mwingine!
 
hakuna mwanajeshi hapo muhuni tu huyo,,ila askri wetu nao full majanga
:israel::israel::israel::israel::israel::israel::israel::israel::music:
 
hamna ishu hapo huyo jamaa alikuwa anawatisha tu hao polisi. wala sio mwanajeshi huyo.
JUST MIKWALA TU.
Wajua nilikuwa bado nashangaa, mwanajeshi apigwe na hao raia wakakamavu?!!
 
Hata mimi nimefurahi wacha wamkomeshe c wanajifanya wapo juu ya sheria hao

Naturally wanajeshi huwa ni watulivu sana wakiwa katika mchanganyiko na jamii na makundi mengine. Ila unapomchokoza lazima avimbe, kutokana na mazingira na mazoea yao, ila kimsingi wanajeshi wako peace sana wasipochokozwa au kuudhiwa kwa makususdi
 
Huku sasa ni kudharirishwa kwa JWTZ. Juzi kati tumesikia vijana wa JKT wametiwa adabu na FFU huko Arachuga leo tena timbwiri na mkong'oto mwingine!
quote_icon.png
By Consigliere

JWTZ hawana uwezo Wa kusimama na trafiki. Maana nyuma ya trafiki kuna FFU, hao ndiyo kiboko ya JWTZ.
anachosema JoJiPoJi ni sahihi kabisa kwani wengi wa vijana wa kileo hawaijui TPDF (JWTZ) wanaifananisha na Field Force Unit (kitengo cha POLISI cha kuzuia fujo au wizi wa mifugo na mapigano ya raia kwa kutumia virungu
Baba wa majeshi yote ni JWTZ na ndio mwisho wa vyeo vyote na Mkuu wa majeshi akitokea hapo

TUKIRUDI KWENYE MADA
Hao Traffic wa kiume na huyo Mama wanamzuia Raia wa kawaida ambaye hata Uniform hana, ni kwa vile tu kaitangaza ni Mwanajeshi ambapo Mlevi yeyote anaweza sema hivyo
 
Kama hadi saa hizi bado hali iko shwari, ni dhahiri huyo hakua mjeda!
 
Mh kisheria sijui kama inaruhusiwa kumpiga raia sema kwa vile watz hatujui sheria kama ni akitafuta wanasheria wanaweza msaidia hakuna aliye juu ya sheria lakini kwa tz hilo linawezekana .

huyu alikua anapigwa au alikua anadhibitiwa
 
anachosema JoJiPoJi ni sahihi kabisa kwani wengi wa vijana wa kileo hawaijui TPDF (JWTZ) wanaifananisha na Field Force Unit (kitengo cha POLISI cha kuzuia fujo au wizi wa mifugo na mapigano ya raia kwa kutumia virungu
Baba wa majeshi yote ni JWTZ na ndio mwisho wa vyeo vyote na Mkuu wa majeshi akitokea hapo

TUKIRUDI KWENYE MADA
Hao Traffic wa kiume na huyo Mama wanamzuia Raia wa kawaida ambaye hata Uniform hana, ni kwa vile tu kaitangaza ni Mwanajeshi ambapo Mlevi yeyote anaweza sema hivyo

Umeandika nini sasa?
 
Nini hasa chanzo cha kumpiga? Kama kweli ni mwanajeshi basi kazi ipo kwa hao polisi na wataiona dunia chungu sana lakini kama hakuwa mwanajeshi basi kipondo atapata kikali zaidi ya hapo .

wacha mambo ya kizamani, unafikiri polisi wao hawakwenda depo
 
Mh kisheria sijui kama inaruhusiwa kumpiga raia sema kwa vile watz hatujui sheria kama ni akitafuta wanasheria wanaweza msaidia hakuna aliye juu ya sheria lakini kwa tz hilo linawezekana .
Tatizo hamjui tofauti ya kupigwa na kutuliza,

Huyo alikuwa anatulizwa ili atiwe nguvuni.

Wewe ulitaka polisi wawe wanacheka pale wanapokutana na wahalifu wakorofi?
 
Back
Top Bottom