Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,962
- 13,735
Habari wakuu,
Baada ya sekeseke la Maxence Melo mahakamani, leo mwanahisa mwingine Jamii Media, Micke William anatarajiwa kupandishwa kizimbani muda si mrefu.
Mnamo Januari 16 aliitwa na kuhojiwa kituo cha polisi cha kati jijini Dar na kupata dhamana ya polisi.
Habari zaidi kufuata...
UPDATES:
Micke William ameunganishwa kwenye kesi mbili za kuzuia Upelelezi wa Jeshi la Polisi zinazomkabili Mkurugenzi Mtendaji wa Jamii Media, Maxence Melo.
Amefanikiwa kupata dhamana kwa mashitaka yote mawili.
Upelelezi umekamilika kwa shitaka moja na Usikilizaji wa awali wa kesi unaanza Tarehe 9 Februari 2017.
=======
Tazama mjadala kuhusu habari hii ukisomwa katika
kipindi cha JamiiLeo
Baada ya sekeseke la Maxence Melo mahakamani, leo mwanahisa mwingine Jamii Media, Micke William anatarajiwa kupandishwa kizimbani muda si mrefu.
Mnamo Januari 16 aliitwa na kuhojiwa kituo cha polisi cha kati jijini Dar na kupata dhamana ya polisi.
Habari zaidi kufuata...
Micke William ameunganishwa kwenye kesi mbili za kuzuia Upelelezi wa Jeshi la Polisi zinazomkabili Mkurugenzi Mtendaji wa Jamii Media, Maxence Melo.
Amefanikiwa kupata dhamana kwa mashitaka yote mawili.
Upelelezi umekamilika kwa shitaka moja na Usikilizaji wa awali wa kesi unaanza Tarehe 9 Februari 2017.
=======
Tazama mjadala kuhusu habari hii ukisomwa katika
kipindi cha JamiiLeo