Leta literature inayo-support hoja yako? Au unaongea kihisia zaidi?Inasaidia. Waislam wana furaha na ndoa zao ukilinganisha Wakristo.
Wakristo wanaume wanakufa haraka kuliko Waislamu.
Waislamu wanzidi kuwa vijana huku Wakristo wakizeeeka mapema zaidi.
Na hili ni kutokana na uhuru walionao Waislamu huku Wakristo wakifungwa na sheria za Kanisa na ile ya Ndoa katika suala zima la kufunga ndoa na malezi