Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,900
- 155,954
I'm 53 now, michuki yako, midua yako mibaya na husda vimeshindwa.Kwa michuki hiyo huwezi kuvuka 50
Wewe ni Nani Hadi uunenee uhai na uzima wangu?
Zile Zama mlizokuwa mkituua bila kuchukuliwa hatua zozote kwa kigezo Cha kumfurahisha bwana wenu zimepita. Ninakuombea uzima tele na MAISHA marefu yaliyojaa heri, baraka, fanaka, afya tell, mafanikio, furaha, Amani na utajiri mkubwa.