Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

Pembetatu pacha, angle ya juu ndani ni thamani ya'y' na angle mbili za ndani chini ni pacha, pia angle ya nje upande wa pacha ni thamani ya'3y' tafuta thamani ya 'y'


y+(180-3y)+(180-3y)=180
y+180-3y+180-3y=180
(y-3y-3y)+(180+180)=180
-5y+360=180
-5y+360-360=180-360
-5y=-180....devide by - 5 throughout
y=36
 
Kamanda hiyo pembe ni pacha so ukichukua 3y ya nje ujumlishe y iliyopo ndani kwenye mstari mnyofu ili kupata thamani ya y, hutapata 180,
Na pia uliambiwa pembe za ndani zote ni y, hivyo ukiamua kuzifanya kuwa 36 hazitakuletea jibu stahiki.

Hivyo nachoamini umerong labda wenzangu watakuwa wana majibu zaidi.


Ndugu unaifahamu pembe tatu pacha na sifa zake?
 
Factorize :
(a) 6x2 -11xy -10y2
(b) am+3bn-an+3bm

(a) 6x2-11xy-10y2
6x2-15xy+4xy-10y2
3x(2x-5y)+2y(2x-5y)
(3x+2y)(2x-5y)

(b) am+3bn-an+3bm

Litakuwa limekosewa either - an iwe +an au kati ya 3bn au 3bm au am moja wapo iwe negative au zote

Assume - an iwe +an

am+3bn+an+3bm
=am+an+3bm+3bn
=a(m+n)+3b(m+n)
=(a+3b)(m+n)
 
Why economics has no single definition?
1.it deals with human behaviours, we differ in behaviour and not possible to define using a behaviour of a certain human being

2.ni wide subject, consist of several aspects of life like wealth, welfare, poverty, etc, so u can't put all aspects in single definition

3. Deals with resouces that results into production of goods that sustains our needs, ie labour, capital etc, every country, every land, every human is different from one another eg tz and dubai, these two countries differ in terms of resources, thus in defining economics using these two countries there will be some contradictions hence u can't have single definition for both countries
 
kwani i mbili kujumlisha mbili ni nne na nne mara nne ni nne kwanini isibadirike?
Swali lako lilitakiwa liwe kwanini 2+2=4 na 2x2=4

Jibu

Hili ni swali la kuprove
Na unaprove kwamba
2+2=2x2
Chukua ya upande wa kushoto uifanye ifanane na ya upande wa kulia

Yani uifanye 2+2 iwe 2x2

Take 2+2
=2(1+1)
=2(2)
=2x2
Proved
 
naomba kujuaa tofaut ya gpa na mfumo wa division wa zaman walmu
Gpa kuna firmula maalumu with respect na marks unayopata, mfano km A inaanzia 81-100 mwenye marks 100 hawezi kupata gpa sawa na mwenye marks 88 japo wote wana grade A

Division wanaangalia grade thus km A ni 81-100 basi mwenye 83 na 99 wote ni sawa
 
hautaganda. dunia na vitu vyote ndani yake vinazunguka kwa speed ya 1600km/hr. ni kama tuko kwenye basi ukirusha funguo juu itatua ulipo sababu nayo ipo kwenye mwendo.
Kwahyo nikiwa juu ya basi nikaruka wakati basi lipo kwenye mwendo nikitua natua kwenye sehemu ile ile au
 
jaman kunaswal la hesabu hapa limenishnda naomben msaada" ( 1/4robo ya ng'ombe wa mzee yagayaga wamekufa,,1/5 ya ng'ombe waliobak n wagonjwa,,..ng'ombe 180 n wazima!!! je! mzee anang'ombe wangap???

Assume ng'ombe wote ni x

X-(1/4+1/5)x=180
X-9x/20=180
11x/20=180
X=3600/11,hakuna ng'ombe kipande, rejea swali lako, atleast hyo 180 ingekuwa 187 au 176
Hizo huwaga ni heasbu za kihuni ambazo hazifuati kanuni za kihesabu

Wanasema hivi, 25/5, 2 haigawanyiki kwa tano, bali 5 inagawanyika kwa 5 na inaingia mara 1, so unakuwa na 1 pembeni so katika 25 utakuwa umebakiwa na 20 kwa sababu 5 imeshagawika , hivyo hiyo ishirini kwa tano inaingia mara nne, so ile moja yankwanza na hii nne ndio unapata hiyo 14

Bonge la uongo
 
Back
Top Bottom