Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

Sombrero

New Member
Jan 1, 2023
0
1,615
Kwanini Mchungaji akitaka gari anachangiwa na muumini akitaka gari anaombewaView attachment 2609018
Ndio hawayataki haya Zanzibar
Atokee shekhe sasa anadai achangiwe, au atafune hela ya msikiti, atatafuta pa kujizika
Kama wale mashekhe wa mchongo walimfata yule mtume kule Arusha, walivyopigwa biti kali, wakajitetea kuwa walilala na walivyoamka na kujikuta wako Arusha, 🤣🤣🤣
 
Japo komesha ya ubishi ni Wasomali ,Wana akili na wanafanya biashara wakubwa ila ujuaji mwingi.
Sasa tutasikilizana vipi wakati mimi na familia yangu kila siku tunalala njaa, halafu wengine wanalamba asali mpaka usiku wa manane
Ni bora kukiwasha tu, tukose wote
 
Eti leo hii uende ukapange nyumba na kusaini mkataba wote kuwa nitalipa kila mwezi fedha taslimu kiasi hiki kwa mwaka mzima na nikikatisha mkataba, inabidi nilipe hela ya mwaka mzima ,
halafu katika ya mkataba, ujitoe akili eti kodi ni kubwa sana, kmnyoko, nitakukamua kisheria ulipe yote kabla ya kuondoka.
 
Hayo makampuni yalingoja mpaka mwamba aondoke ndio wafungue mashtaka ya kuvunja mikataba ya madini ??!! Wakati akiwa Hai aliyevunja mikataba walikuwa wanamuogopa kumshitaki ??!! Ukistaajabu ya Musa ……….. !! Michongo inakuja !!
Ni ujinga wake, alidhani anaishi milele, Pumbavu sana yule
Na sio walikuwa wanamuogopa kumshtaki, alikuwa anaenda kutumbukiza nchi kwenye shimo la mavi
Ana uwezo gani wa kuchimba hata visima vya maji?
Nchi kubwa kama UK ilisaini mkataba wakati wa kujitoa EU ili kuwafurahisha wananchi wake, yalivyofika pomoni, wakakurupuka na kutaka kujitoa, EU ikasema ninaenda kukukamua barabara, kilichofata Waziri MKuu pigwa chini, serikali iliyoiingia inaomba msamaha EU
 
Wewe unaongelea hisia badala ya kuongelea ukweli.

Haya ni makampuni ambayo yalikuwa na leseni za kufanya utafiti.

Utafiti ni gharama kubwa na ni risk kubwa, ndiyo maana hakuna Serikali hata moja Duniani ambayo hufanya utafiti wa madini, mafuta au gas. Ni makampuni yenye mitaji yao ndiyo hufanya kazi hiyo. Uwezekano wa kupoteza pesa kwenye utafiti ni zaidi ya 90%.

Fikiria kampuni kama ya Petra ilikuja Tanzania ilifanya utafiti wa mafuta kwa gharama ya dola milioni 760, mafuta hawakupata, wakaondoka zao. Sasa hapo wewe umenyonywa kitu gani? Au unafikiri Tanzania ina uwezo wa kutenga japo dola bilioni 10 tu kufanya utafiti wa madini, mafuta na gas?

Makampuni ya nje au ya ndani hufanya utafiti kwa kuomba tu leseni, hakuna mkataba wowote, kinachoangaliwa ni sheria tu ya madini inasemaje kwa mtu anayetaka kufanya utafiti wa madini. Akiyapata madini, anataka kuanza uchimbaji, kama mradi utakuwa na mtaji wa zaidi ya dola milioni 100 ndiyo atasaini mkataba na Serikali, na atapewa leseni ya SML. Kama uwekezaji wako ni chini ya dola milioni 100 ataomba ML, na hakuna mkataba na Serikali, utaongozwa tu na sheria ya madini. Na hiyo haijalishi wewe ni Mtanzania au mgeni. Kama umefanya utafiti, lakini huwezi kuanza ujenzi wa mgodi mara moja, ili eneo ulilolifanyia utafiti liendelee kuwa lako wakati unajiandaa kuomba SML au ML, ukitaka utaomba Retention License. Na Retention License muda wake ni miaka mitatu tu, na hairuhusiwi kurudia kuiomba tena. Sasa hawa wawekezaji waliomba retention licenses, tukawapa, halafu baada ya miaka miwili, eti Serikali imefuta Retention License kuwa miongoni mwa leseni zinazotolewa na Serikali, na hivyo wote waliokuwa na retention licenses, wamepoteza haki zao zote! Kweli mtu mwenye akili timamu anaweza kufanya hivyo? Ulikuwa ni ukichaa wenye madhara makubwa kwa Taifa.
Bingwa hata uwatwange marungu wakati wa kuwaelewesha, hawa mbulula hawatakuelewa
Umeelezea kama Pro wa kitengo, lakini unabishana na yale mainzi ya kijani ya msimu wa maembe
Yatakung'ong'a tu
 
Kwanini ukasome shule kikafiri kwa mtu kama wewe ambae kabla ulishaenda madrasa na ukafundishwa kuwa" hakika hawatakuwa radhi mayahudi na manaswara mpaka mufuate mila yao?
If you can't beat them, join them, and beat them from within
Tunaona sasa LGBTQ ni RUKSA, baada ya miaka kadhaa, watakuwa wanaume wa kitambaa cheupe
 
Na pia tuache kuzaliana kama nzige, watu wafundishwe upungufu wa rasimali unaotokana na ongezeko la watu nchini/duniani
 
Wapemba tu,mnawakataa sembuse ,mtanganyika!!na maisha wanayoishi wapemba kule,daaa!!!hebu wasaidieni kwanza.
Leta huo mfano wa wapemba wanaishi kule
Maana najua wengi mna madaftari ya kukopa kwenye maduka yao na huo mshahara wa madaraja ya kusubiri mei mosi
 
Ukiona mtu ana chogo ujue akili zimo, hivi hamuoni shule za Z'bar kitaaluma wanavyoshika mkia?

Acha kauli za kibaguzi.
Wanashika mkia kwenye elimu ya kipumbavu ya NECTA ambayo mmeipanga nyinyi mambulula na haitambuliki kokote duniani, ni vilaza wenye vyeti
Hakuna Doctor, Nurses wala Engineer anayeweza kutoka bongo na kufikia kupata kazi moja kwa moja na ka cheti kake nchi za ulaya/US
 
Ukiona mtu ana chogo ujue akili zimo, hivi hamuoni shule za Z'bar kitaaluma wanavyoshika mkia?

Acha kauli za kibaguzi.
Wanashika mkia kwenye elimu ya kipumbavu ya NECTA ambayo mmeipanga nyinyi mambulula na haitambuliki kokote duniani, ni vilaza wenye vyeti
Hakuna Doctor, Nurses wala Engineer anayeweza kutoka bongo na kufikia kupata kazi moja kwa moja na ka cheti kake nchi za ulaya/US
Wabongo wengi sana wapo nje wanafanya kazi kwenye sectors mbali mbali kama afya, engineering n.k kwenye hayo mataifa makubwa, wengi sana wapo.
Wako lakini sio wengi kama wakenya na wazimbabwe, na walikuja na tuvyeti twao, wakaambia wasome upya
Mimi niko nao, yaani usianze kabisa na hiyo stori
 
Wabongo wengi sana wapo nje wanafanya kazi kwenye sectors mbali mbali kama afya, engineering n.k kwenye hayo mataifa makubwa, wengi sana wapo.
Idadi kubwa ni wale waliosema tokea Bachelor na ni watoto wa kishua, kwa hiyo, asilimia yao ni 10^-100 in comparison, Na wale waliokuja na kusoma Master halafu wakabahatisha kazi ni asilimia 0.000000000000001
 
Achana na cocaine, hiyo ni ghali sana kulinganisha hiki kitu kipya na ni bei rahisi tu, na pia madealer watajifunza kutengeneza wenyewe nyumbani, nahisi kimeshaingia mjini
Na wabongo wengi watakufa sana

 
Back
Top Bottom