Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,289
- Thread starter
- #61
Hahaha...mmarekani anasemaje kwani?Twende ukraine tukampige mrusi,uko tayari au unaogopa maiti
Hahaha...mmarekani anasemaje kwani?Twende ukraine tukampige mrusi,uko tayari au unaogopa maiti
Umeona...ila habari ya kitambo sana nilipost wakati nipo chuoPale pabaya sana kwa mchana mtu uvuke kwenye zebra....na kama ni usiku basi kuvumilia hadi gari zitulie ndio uvuke...
sijui nan kaifukunyuaHee! Hii habari naona ya miaka 10 iliyopita! Watu wameisha staafu ndiyo inarudi tena! Astsakhafilullah!
Dah,,aibu hii,, mwanaume unaogopa maiti?Hii imetokea usiku huu mida ya saa nne pale kwenye kibao cha mzee wa upako.Mwanafunzi wa chuo kikuu mwaka wa 3 ambaye jina lake skulisikia vizuri amefariki baada ya kugongwa na gari akiwa anataka kuvuka barabara akitokea ubungo.Sina info nyingi kwani nimewahi kuondoka baada ya kutandwa na hofu ya kuona maiti.
angalia uzi huu ni lini mkuu....nilikuwa mvulana enzi hizo..saiv ndio mwanaume sasa..Dah,,aibu hii,, mwanaume unaogopa maiti?
Ikitokea tumevamiwa na Putin na wanainchi wanahitajika jeshi la akiba kupigania inchi yetu,
mkuu tutakupata kweli?
Mamdenyi ulikuwewpo humu toka 2012 hakika ww ni mkongwe humu.R.I.P. Msomi wetu.