Ahsantheee !!!babaaa uyuuu ajaijua ata physiology ,nadhan ndo mana ansema ivi,,,
Weka mbal na watoto na wakubwa pia kitu MENTALY HEALTH
unachosema ni sahihi ila mungu mwema kikombe hiko kimenepuka although nasoma pharm.Inategemea na coz anayosomea mfano phamacy supplimentary jambo lakawaida
Deadbody?Wanafunzi wa siku hizi wapo busy na mambo yao ya ajabu ajabu ambayo hayaendani na Masomo, hivi mwanafunzi unashindwaje kufika 40 au 50?
Tena immunology ulipigwa kionjo yan medical students bn et physiology,anatomy ndo nnKuna kaukweli kidogo ila wakati mwingine mambo yanakua tight unaponea C
Mimi hadi namaliza chuo sina supp ila kuna wakati mambo yalikua yananitinga naponea C
Kuna kitu Immunology ya Prof. Mwambete ,,,niliponea chupuchupu
Pharmacokinetics ya Dr Maganda nusura anishike
Etc
watu mnatambiana supp! ndugu zangu ubora wa elimu ni uhalisia wake kwenye maisha ya kila siku, kuanguka kupo lakini lazima tuelewe shule ni mahali pa kujfunza na si kukariri, huna supp good unayo well kesho unayo chansi simama na endelea kutembea.......Mimi Class kwetu n CR was Sup, unasemaje sasa