Mwanafunzi Bora wa Nigeria afariki dunia

Babumawe

JF-Expert Member
Sep 12, 2014
2,556
2,559
Mtoto wa Kike wa miaka 17 aliyefanya vizuri zaidi kwenye Mitihani ya Elimu ya Secondary Nchini Nigeria kwa kupata alama A1 katika masomo yote kutoka Shule yake ya West African Seniour School amefariki dunia katika mazingira ya kustaajabisha.

Mtoto huyo aitwaye Chisom Chukwueneke mwenye miaka 17 alipokea zawadi nyingi baada ya kufanya vizuri kwenye mitihani yake ya secondary ijulikanayo kama (WEAC) na kwa mujibu wa baba Wa mtoto huyo anasema Chisom alianza kwa kuumwa maumivu ya mguu ambapo baadae yalikuja kuwa tatizo kubwa ambalo ndilo lililokuja kuchukua uhai wake.

Mungu ailaze Roho yake mahala pema, Amen.
 
Tusivunge hapa uchawi umehusika....huku kwetu unachaguliwa sec tuu tena shule ya kawaida wanakuwinda usiku na mchana....sembuse huyo wa taifa?
Kwa jinsi tunavyoona kwenye yale mamuvi yao meyb
 
Mtoto wa Kike wa miaka 17 aliyefanya vizuri zaidi kwenye Mitihani ya Elimu ya Secondary Nchini Nigeria kwa kupata alama A1 katika masomo yote kutoka Shule yake ya West African Seniour School amefariki dunia katika mazingira ya kustaajabisha.

Mtoto huyo aitwaye Chisom Chukwueneke mwenye miaka 17 alipokea zawadi nyingi baada ya kufanya vizuri kwenye mitihani yake ya secondary ijulikanayo kama (WEAC) na kwa mujibu wa baba Wa mtoto huyo anasema Chisom alianza kwa kuumwa maumivu ya mguu ambapo baadae yalikuja kuwa tatizo kubwa ambalo ndilo lililokuja kuchukua uhai wake.

Mungu ailaze Roho yake mahala pema, Amen.
Keep your issue secret
 
Mtoto wa Kike wa miaka 17 aliyefanya vizuri zaidi kwenye Mitihani ya Elimu ya Secondary Nchini Nigeria kwa kupata alama A1 katika masomo yote kutoka Shule yake ya West African Seniour School amefariki dunia katika mazingira ya kustaajabisha.

Mtoto huyo aitwaye Chisom Chukwueneke mwenye miaka 17 alipokea zawadi nyingi baada ya kufanya vizuri kwenye mitihani yake ya secondary ijulikanayo kama (WEAC) na kwa mujibu wa baba Wa mtoto huyo anasema Chisom alianza kwa kuumwa maumivu ya mguu ambapo baadae yalikuja kuwa tatizo kubwa ambalo ndilo lililokuja kuchukua uhai wake.

Mungu ailaze Roho yake mahala pema, Amen.
Dah kafa wakati mmoja na Tanzania one Kihombo pamoja na Muddy Physics.

Alirogwa tu. Lakini hata hivyo alipangiwa atakufa hivyo pindi tu alipozaliwa. Huko kurogwa na mguu kuuma ilikubalika na forces of nature ili afe hivyo kama ilivyopangwa.

R. I. P

Baba Swalehe
 
Kwa afrika vifo vya aina hiyo vishazoeleka ndo mana huku porini watu hatuagi MTU yoyote zaidi ya ndugu wawili tu na tunatanguliza mabegi ya nguo huko stend wiki moja kabla ya safari halafu wiki inayokuja tunaondoka kijjin peku huku tumevaa masantura, nguo nzuri na safi tunakwenda kuvaa lodges zipatikanazo stendi ndo hao tunasepa vpapai afrika vmezidiiiii
 
The good thing to useless is that , no body could use you

Misemo ya watu weupe mizuri Ila inaumiza Sana rohoni
Wanaija wamechezea huyo dogo sio bure ,halaf kibaya zaidi Ni ndugu au jirani tu
 
Back
Top Bottom