Mwanafunzi aliyefukuzwa UDSM aomba msaada!

Mwanafunzi aliyefukuzwa UDSM aomba msaada!

Namshauri awafuate wale aliowasaidia kuhakikisha wanapata mikopo,hiyo ndio faida ya kujitia kimbele mbele kwa mambo yasiyokuhusu,sasa wenzake wameshasoma na wanafanya shughuli zao yeye amegeuka matonya!
Natamani nikulaani ila basi tu, Mungu akuhukumu ajuavyo.
 
Pole sana kwa kuendeshwa na mihemko ukadanganywa ila sasa umebaki peke yako...hakuna msaada utapata zaidi ya kuitwa kamanda...
 
Pole sana rafiki yangu, nakumbuka mwaka huo tulikuwa wote udbs,,,,kwa miaka ya karibuni nilipokuona instagram ukiwa maeneo ya udsm, school of law nikadhani umeruhusiwa kuendelea na masomo....Dah!! hii inaumiza sana na imeniumiza sana moyo wangu..nahaidi kukusaidia kwa kile nilichonacho kidogo..

kwa sabau wewe ndiye:

1. Uliyetetea boom kuongezeka kutoka 5000/- mpaka 7500/-

2. Wakati sisi tukiwa darasani tukikimbizana na Lect. Geniune martin wewe ulikuwa nje kukutetea tuongezewe boom.

Ni wazi ulikubali kufukuzwa chuo kwa ajili yetu na wadogo zetu hawa...


Ndugu zanguni, huyu mtanzania mwenzetu, ni mtanzania mzalendo sana kilichotokea ni wazi tunahitaji kumsaidia kama mwenzetu!!


Kila La Kheri!!!
 
Ulikuwa kiherehere, acha uisome namba dogo. Pia wewe ni miongoni mwa majitu wasiotumia akili. Hivi Bakhresa ni professor???? Dewji ni Professor??? Bill Gate ni Professor. Ondoa akili yako mgando, maisha siyo shule tu. Kama uliamini fighting to bring change kwa wenzako then fight for yourself to get rich!
Iv ww umesoma chuo kweli ukajua hali ya life ilivyongumu huko unaju use unaongea co kwa mihemko ya politics just ktk real life wanaosoma ndo wajua watu wasio kuwa na mkopo wanaishijee
 
ushauri wangu. zipo njia nyingi za kuweza kufanikiwa kimaisha ukiacha kusoma. fikiria ni muda gani umeshaupoteza mpaka sasa....
 
  • Thanks
Reactions: Luv
Miaka sita ulikuwa unafanya shughuli gani? Naaminije kuwa hutofukuzwa tena huko nikuchangiapo?
 
Chuo huwa ni kwa ajili ya kwenda kusoma na kutimiza malengo yako lakin ukifika na kujifanya mwanaharakati huwezi kushindana na uongozi wa chuo,anyway nakuombea utafanikiwa na ukifanikiwa kurudi chuo jitahidi kufanya kilichokupeleka chuo na sio mengine
 
Namshauri awafuate wale aliowasaidia kuhakikisha wanapata mikopo,hiyo ndio faida ya kujitia kimbele mbele kwa mambo yasiyokuhusu,sasa wenzake wameshasoma na wanafanya shughuli zao yeye amegeuka matonya!
Bila shaka wewe utakuwa unasumbulia na uchungu wa siku zako.
Nakushauri unywe vidonge vya kupunguza maumivu.
 
Ukishajua manyanyaso ya nchi hii hata kama utakuwa mbunge nafikiri utatumikia wananchi wako vizuri sana kwa sababu yalishakukuta.
 
Namshauri awafuate wale aliowasaidia kuhakikisha wanapata mikopo,hiyo ndio faida ya kujitia kimbele mbele kwa mambo yasiyokuhusu,sasa wenzake wameshasoma na wanafanya shughuli zao yeye amegeuka matonya!
Middle kidole kwenye tigo
 
Ulikuwa kiherehere, acha uisome namba dogo. Pia wewe ni miongoni mwa majitu wasiotumia akili. Hivi Bakhresa ni professor???? Dewji ni Professor??? Bill Gate ni Professor. Ondoa akili yako mgando, maisha siyo shule tu. Kama uliamini fighting to bring change kwa wenzako then fight for yourself to get rich!
Bwege ni huyo mwanarakati uchwara,kama vp amtafute Kaoge ampe michongo ya kupata hela ya ada,shwaini mkubwa
nyie mtakuwa wapumbavu maana nikiwaita
wajinga nitakuwa nimekosea maana mna lakini hamuoni na hamtoweza kuona tena
mna masikio lakini hamsikii na hamtaweza
sikia tena
dhuluma ya wazi imetendeka kwa huyu kijana na bado unaifurahia
Amini nawaambia watoto wenu wala wajukuu zenu wanaweza wasiyaishi tena
mpaka Yesu Kristo atakapokuja

malipo ni hapahapa kwenye hii dunia na
anayecheka mwisho huwa anacheka sana
kuliko aliyecheka mwanzo
naona mnacheka mwanzo ila mtalia mwisho
tu
kama raha inapita na shida nayo inapita tu
naimani Mungu atamuonyesha mlango wa kutukea tu huyu kijana

nb:nyie ndio mnataka tuwe na wasomi mazezeta wasioweza hata kuhoji nchi
mnaipeleka wapi ikiwa hao ndio viongozi wa kesho
 
Chuoni si Sehemu ya kufata Mkumbo, chadema msaidieni huyu kijana Maana alifanya Harakati kwa ajili yenu,,, sasa iwe funzo kwa wanachadema waliopo vyuoni huyu toka 2011 hajapata msaada kuweni wapo ujuaji mbaya.
 
Baadhi ya majibu ya watu yameniogopesha sana ila badae nikakumbuka ndo tabia za watanzania. UNAFIKI ULIOPITILIZA

unaanzaje kumbeza jamaa kwa kupigania mafanikio ya wengi, sawa na kumbeza aliefariki akipigania uhuru ambao leo tunafurahia

hizi ni tabia za watoto mboga 7 tangu anaanza la kwanza hadi chuo ajawahi kukutana na kusimamisha/kufukuzwa shule wala dhoruba yoyote kwa kuwa MNAFIKI kujipendekeza na kuwachoma wenzake.

unaanzaje kufurahia mateso ya mtu na humfahamu, utoto wa hali ya juu
 
Ulikuwa kiherehere, acha uisome namba dogo. Pia wewe ni miongoni mwa majitu wasiotumia akili. Hivi Bakhresa ni professor???? Dewji ni Professor??? Bill Gate ni Professor. Ondoa akili yako mgando, maisha siyo shule tu. Kama uliamini fighting to bring change kwa wenzako then fight for yourself to get rich!
Ndoman nlikaaa kusoma udsm nilijua lazma ntafukuzwa zangu mzumbe....
 
Ulikuwa kiherehere, acha uisome namba dogo. Pia wewe ni miongoni mwa majitu wasiotumia akili. Hivi Bakhresa ni professor???? Dewji ni Professor??? Bill Gate ni Professor. Ondoa akili yako mgando, maisha siyo shule tu. Kama uliamini fighting to bring change kwa wenzako then fight for yourself to get rich!
Huwezi pona laana ! Kuna siku utakumbuka post hizi, see how you have been blasted by many!
 
Back
Top Bottom