rifwima
JF-Expert Member
- Apr 21, 2010
- 507
- 214
Akili ndogo kabisa. Bado unaamini vitu vinatokea kwa bahati? Hope you still believe kwa mfano mtu kupata fursa ya kusoma ni bahati pia therefore sharti apanguse miguu kwa kila aliye na mamlaka ambaye ndo anasimamia hizo bahati!!!...nchi ya majuha kweli hii.Mchuma janga hula na nduguze,simuonei huruma hata kidogo huyo kiazi,wenzake wanatafuta bahati yeye anaichezea!