ilala yetu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 1,237
- 1,919
kwann uhisi wengine ndo wanatatizo ..kwnn usihis we ndo unatatizoYaani mtu amefanya wizi halafu kila mtu ati huyo ndio kidume,huyo ndio katumia vizuri elimu, huyo ndio kiboko huyo ndio nini sijui
hivi kweli utumie elimu kufanya uhalifu halafu ndio uonekane mjanja?!
Hapana sio bure Kuna TATIZO mahali Kama watanzania either kwenye mfumo wa elimu yetu au mfumo wa maisha yetu
Bongo wapo tu wajanja. Kuna chuo flan ivi wanajifanya wana data base za maana, but kuna wahuni walizama wakabadili matokeo wakajipa Mabanda sema badae kikazanuka.
Kwa afrika anaenda kuozea jelaHiyo kutumia vizuri kile alichotoka nacho shule sio mbaya itabidi sasa wamwajiri kamili
Pia mwingine kahack mtandao wa tigo na akawaambia tigo mbona mnaingilika hivyo naye washamwajiri.Fuatilia vizuri mkuu kuna dogo alihack data base ya bank flani miaka ya nyuma afu akajisalimisha wakampa ajira
Niseme serikali zetu za kiafrica haziajiri watu wenye skills. Wanaajiri watu wenye vyeti. Na gpa kubwa..Yaani mtu amefanya wizi halafu kila mtu ati huyo ndio kidume,huyo ndio katumia vizuri elimu, huyo ndio kiboko huyo ndio nini sijui
hivi kweli utumie elimu kufanya uhalifu halafu ndio uonekane mjanja?!
Hapana sio bure Kuna TATIZO mahali Kama watanzania either kwenye mfumo wa elimu yetu au mfumo wa maisha yetu
Ni wa kupongeza maana usipopigwa huwezi kuwa mjanja mjini.Yaani mtu amefanya wizi halafu kila mtu ati huyo ndio kidume,huyo ndio katumia vizuri elimu, huyo ndio kiboko huyo ndio nini sijui
hivi kweli utumie elimu kufanya uhalifu halafu ndio uonekane mjanja?!
Hapana sio bure Kuna TATIZO mahali Kama watanzania either kwenye mfumo wa elimu yetu au mfumo wa maisha yetu
Shida yake ni kwamba alikuwa haendi kazini.Hiyo kutumia vizuri kile alichotoka nacho shule sio mbaya itabidi sasa wamwajiri kamili
Huelewi principle za hacking, we nenda kajaze mikutano ya mwenyekiti.Yaani mtu amefanya wizi halafu kila mtu ati huyo ndio kidume,huyo ndio katumia vizuri elimu, huyo ndio kiboko huyo ndio nini sijui
hivi kweli utumie elimu kufanya uhalifu halafu ndio uonekane mjanja?!
Hapana sio bure Kuna TATIZO mahali Kama watanzania either kwenye mfumo wa elimu yetu au mfumo wa maisha yetu
Nampongeza huyu kijana aliyefanya huu wizi wa kiteknolojia.Yaani mtu amefanya wizi halafu kila mtu ati huyo ndio kidume,huyo ndio katumia vizuri elimu, huyo ndio kiboko huyo ndio nini sijui
hivi kweli utumie elimu kufanya uhalifu halafu ndio uonekane mjanja?!
Hapana sio bure Kuna TATIZO mahali Kama watanzania either kwenye mfumo wa elimu yetu au mfumo wa maisha yetu
Sio kila kitu usikie. Kuna washkaji wawili walikuwa wakitokea Mbeya kwenda dar walipofika moro wakashuka kwa kuwa hawakuwa na hela wakasogea jirani na bank. Waka hack bank waka jirundikia fedha katk account wakakomba fedha wakatambaanahisi
Noma sana uyu jamaaaMwanamme mmoja nchini Afrika Kusini anasakwa na polisi kwa madai ya kudukua data za serikali katika Sekta ya Afya kisha kujiajiri mwenyewe na kwamba amekuwa akipokea mshahara kuanzia mwezi Juni mwaka wa 2018.
Bright Chabota ambaye alisomea kozi ya uhandisi wa tarakilishi, Computer Engineering ni wa asili ya Zambia ila mamaye ni wa asili ya Zulu nchini Afrika Kusini. Inaarifiwa hakuwahi kwenda kazini ila amekuwa akipokea mshahara kila mwisho wa mwezi.
Kulingana na serikali, Chabota aligunduliwa baada ya kubainika kwamba hajakuwa akilipa kodi, vilevile ada za bima ya matibabu nchini humo.
Wazazi wake tayari wamehojiwa na wanasema kwamba mwanawe aliwaarifu kwamba alikuwa amepata kazi na kwamba alikuwa akilipwa Randi elfu saba kila mwisho wa mwezi kuanzia Juni mwaka wa 2018.
Kumbuka kwamba randi elfu saba za Afrika Kusini ni sawa na shilingi 1,161,408.21 za TANZANIA
SOURCE: UKOMBOZ BLOG
#NATAMANI INGETOKEA TZ ALAFU AAJIRI WAHITIMU MAELFU Maana si kwa ukosefu huu wa ajira#
bado hamjapewa uongozi munatangaza kuunga mkono uhalifu mukipewa je? Aah Hapana ccm mpaka kiyamaHuelewi principle za hacking, we nenda kajaze mikutano ya mwenyekiti.
Sent using Jamii Forums mobile app
usitumie neno DHAIFUApewe ajira haraka màana imeonekana serikali ni dhaifu katika data base.
Sent using Jamii Forums mobile app