Mwanafunzi adukua mtandao wa Serikali na kujiajiri, Afrika Kusini

kwann uhisi wengine ndo wanatatizo ..kwnn usihis we ndo unatatizo
 
Niseme serikali zetu za kiafrica haziajiri watu wenye skills. Wanaajiri watu wenye vyeti. Na gpa kubwa..
Watu wenye skills ndio hawa.. kasoma na practicaly yuko fiti..
Hapa ame expose mfumo wao wa ajira. Watu kama haw ndio wa kuchukua. Sio wasom wanaoishia kukarir halaf field 0

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wa kupongeza maana usipopigwa huwezi kuwa mjanja mjini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huelewi principle za hacking, we nenda kajaze mikutano ya mwenyekiti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nampongeza huyu kijana aliyefanya huu wizi wa kiteknolojia.

Huyu ni jasusi, ni tunu ya Taifa, atumiwe kwa maslahi ya Taifa.
 
Sio kila kitu usikie. Kuna washkaji wawili walikuwa wakitokea Mbeya kwenda dar walipofika moro wakashuka kwa kuwa hawakuwa na hela wakasogea jirani na bank. Waka hack bank waka jirundikia fedha katk account wakakomba fedha wakatambaa
 
Noma sana uyu jamaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…