majuto mperungu
JF-Expert Member
- Jul 20, 2012
- 394
- 120
Chanzo hakjajulkanya but nitakuja na more updates
=========================
=========================
ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu sheria, marehemu alikua mtu wa watu sana, jina lake ni Samsoni Njerekela.
ameacha ujumbe "asisumbuliwe mtu yeyote kwani nimefanya hivi kwa maamuzi yangu mwenyewe pia nizikwe kwetu''