MwanaFA azomewa na wananchi baada ya kuanza kusifia Awamu ya 6 kwenye Tamasha la miaka 30 ya Bongo Fleva

MwanaFA azomewa na wananchi baada ya kuanza kusifia Awamu ya 6 kwenye Tamasha la miaka 30 ya Bongo Fleva

Mwanamwana

Platinum Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
9,602
Reaction score
22,707
Wananchi wakataa mapambio ya MwanaFa kwenye miaka 30 ya Bongo Fleva


Katika hali isiyo ya kawaida, Naibu waziri wa Michezo, Sanaa...., Mwinjuma Hamis maarufu kama mwanaFa amezomewa na kukataliwa na wananchi waliohudhuria tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva, pale alipotaka kuanza kusifia na kuipelemba serikali.

Nimecheka sana, kamaindi kishenzi akaishia kusema maneno ya mkosaji ''No problem, moja ya sababu zilizofanya sisi tukutane hapa, ni kwamba ninyi mmetuunga mkono, na mnavyotaka ndivyo tunavyotaka sisi''

Raia mtaani zimechoka, hazitaki ujinga
 
Alafu kesho wanakuja na kauli zao za kishamba "wahuni wachache waliotumwa walitaka kuharibu sshow lakini mama anapendwa na watu wote walifurahi"

Hawa jamaa hivi hawakai vikao chemba wakawa wanatathmini kuwa wananchi wamechoshwa na hii wanayoita awamu ya 6?

Yani kiongozi amekataliwa kuliko watangulizi wake wote ila wao Kila siku ni kumuuza wakati hauziki hata kwa bei ya jioni!!
 
Hupo na kaka zako hapa.Tulishakwambia hii project ni CCM.
Kuna mada hapa zimezimwa na tapeli ni mbunge na walishakuwa wabunge,na wengine wametumiwa na CCM
 
Alafu kesho wanakuja na kauli zao za kishamba "wahuni wachache waliotumwa walitaka kuharibu sshow lakini mama anapendwa na watu wote walifurahi"

Hawa jamaa hivi hawakai vikao chemba wakawa wanatathmini kuwa wananchi wamechoshwa na hii wanayoita awamu ya 6?

Yani kiongozi amekataliwa kuliko watangulizi wake wote ila Kila siku ni kumuuza wakati hauziki hata kwa bei ya jioni!!

Watu wametoa pesa zao Wayne burudani wewe unaleta siasa.
 
Aibu utaona wewe!!

Usiku huu kunafanyika show ya miaka 30 ya bongo fleva.

Mgeni rasmi ni Mwana FA, basi alipopanda jukwaani akaongea vizuri mpaka pale alipoanza kusema serikali ya awamu ya 6, hata hajamaliza watu wakaanza kuzomea.

Ikabidi Mwana FA azuge kuwa tunajenga Arena. Lakini hadhira ikaendelea kuzomea.

Hawataki kusikia na kuelewa kabisa.

Kweli serikali hii ina kazi sana kwenye ushawishi.
ok.🐒
 
Back
Top Bottom