Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,666
- 24,321
Kaamua rasmi kujiunga.... Daaaah..... Haya mambo haya.
We kama umewahi kaa na wapemba wameshakuharibu. Si watu wazuri wale.Ahsante kwa taarifa chizi karogwa tena!
Retard chizi..... Weekend njemaKuritad ndio kufanyeje
Kaamua rasmi kujiunga.... Daaaah..... Haya mambo haya.
View attachment 2818844
Mimi nataka nikuharibu wewe na mke mwenzio GENTAMYCINEWe kama umewahi kaa na wapemba wameshakuharibu. Si watu wazuri wale.
Ushaliwa na genta? We dogo umekuwa sugu sasa..... Unadandia kila mwanaume.... Yule mpemba alikuharibu sanaMi
Mimi nataka nikuharibu wewe na mke mwenzio GENTAMYCINE
Ushaliwa na genta? We dogo umekuwa sugu sasa..... Unadandia kila mwanaume.... Yule mpemba alikuharibu sana
mpemba kakufundisha na maneno ya mjini.... kweli Dar kunabadilisha watu.....ulikaribishwa vizuri. umeanza kunawiriMi nataka niwakung'ute mtungo na mke mwenzio Genta
mpemba kakufundisha na maneno ya mjini.... kweli Dar kunabadilisha watu.....ulikaribishwa vizuri
Tiktok videos....Kaamua rasmi kujiunga.... Daaaah..... Haya mambo haya.
View attachment 2818844
Japo sio Mimi sio mtu wa Dini ila ukifatilia HII Video utagundua ni UongoKaamua rasmi kujiunga.... Daaaah..... Haya mambo haya.
View attachment 2818844
umeifuatilia wapi sheikh....ili tupate ilimu tuwahabarishe na wengineJapo sio Mimi sio mtu wa Dini ila ukifatilia HII Video utagundua ni Uongo
Sheikh tena 😅😅umeifuatilia wapi sheikh....ili tupate ilimu tuwahabarishe na wengine
Kama ulikuwa hujui isis siyo wala waislamu na hawataki mtu anayejua uislamu , na hii imeripotiwa na kufanyiwa uchunguzi na gazeti la israel acheni porojo zenuKaamua rasmi kujiunga.... Daaaah..... Haya mambo haya.
View attachment 2818844
Sheikh ni cheo. Nlidhani una ushahidi flani. Kumbe ni hilo ambalo ni subjective.Sheikh tena 😅😅
Ila kwakuwa Sheikh maana Yake mzee na kote kote ipo Kwa Waislamu na wakristo sawa japo kwa hao wote waislam wala wakristo sipo...
Ukiangalia Facial expression, Voice tone,Its more on Intelligence Investigative Reasoning kwamba huyu mtu anatoa ushahidi usio wa kweli..