Mwanablogu auawa kinyama Bangladesh

Mwanablogu auawa kinyama Bangladesh

Jambazi

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
16,654
Reaction score
18,801
Mwanablogu mmoja mwenye asili ya Marekani na ile ya Bangladeshi- maarufu kwa maoni ya kumkana Mungu ameuawa kinyama alipozuru mji wa Dhaka.

Avijit Roy ambaye alikuwa akiishi Marekani alikuwa amezuru mji huo mkuu wa Bangladeshi na mkewe kuhudhuria dhifa ya uzinduzi wa kitabu.

Alikuwa amepokea vitisho baada ya kuchapisha makala ya kupigia debe maoni huru, sayansi na maswala ya jamii, ambayo yamekuwa yakikosolewa na kutajwa kuwa ni kinyume cha dini ya Uislamu.

Polisi wanasema wanachunguza kuuwawa kwake lakini kufikia sasa hakuna aliyetiwa mbaroni.


Roy.jpg


Attackers in the Bangladeshi capital Dhaka have hacked to death a US-Bangladeshi blogger whose writings on religion angered Islamist hardliners.

Avijit Roy, an atheist who advocated secularism, was attacked as he walked back from a book fair with his wife, who was also hurt in the attack.

No-one has been arrested but police say they are investigating a local Islamist group that praised the killing.

Hundreds of people gathered in Dhaka to mourn the blogger's death.

Mr Roy's family say he received threats after publishing articles promoting secular views, science and social issues on his Bengali-language blog, Mukto-mona (Free Mind).

He defended atheism in a recent Facebook post, calling it a "rational concept to oppose any unscientific and irrational belief".

His Mukto-mona website on Friday bore the message in Bengali "we are grieving but we shall overcome" against a black background.

US State Department spokeswoman Jen Psaki described it as an assault on Bangladesh's proud tradition of free intellectual and religious speech.
'Den of militants'

A group of men ambushed the couple, who live in the US and were visiting Dhaka only to attend the book festival, as they walked toward a roadside tea stall.

At least two of the attackers hit the couple with meat cleavers in the attack on Thursday evening, police chief Sirajul Islam told AP news agency.

Dropping their weapons, the attackers ran away, disappearing into the crowds.

Police told the BBC they were investigating a local hard-line religious group that had praised the killing in an online message.

Ajay Roy, father of the dead man, urged the authorities to find the killers and "ensure exemplary punishment".

"This Bangladesh which was built by the blood-sacrifice of the martyrs has now turned into a den of militants," he said.

Students, teachers and bloggers gathered at Dhaka University on Friday to protest against the killing.

_81281731_eae22f2f-3410-4e7f-a44d-fe0545732409.jpg

Students and social activists gathered to protest against the blogger's death

'Virus' of extremism

In a forthcoming article to be published in the Free Inquiry magazine of April-May 2015, Mr Roy likens religious extremism to a "highly contagious virus".

He says he received threats from Islamist hardliners in Bangladesh last year when his book, The Virus of Faith, was released at a book fair.

"The death threats started flowing to my e-mail inbox on a regular basis," he writes.

"I suddenly found myself a target of militant Islamists and terrorists. A well-known extremist... openly issued death threats to me through his numerous Facebook entries.

"In one widely circulated status, he writes, 'Avijit Roy lives in America and so, it is not possible to kill him right now. But he will be murdered when he comes back.'"

The killing in early 2013 of another secular blogger, Ahmed Rajib Haider, which was blamed on religious hardliners, sparked protests from free-speech supporters and counter-protests from Islamists.

The police say the attack on Mr Roy was similar to the 2013 murder.

____________________________________________

Avijit Roy

  • Founded Mukto-Mona ("Free Mind") blog site in 2000 to champion secular and humanist writing in Muslim-majority Bangladesh
  • Bangladeshi-born US citizen on visit to Bangladesh
  • Engineer by profession
  • Received recent death threats from Islamist radicals for his writings, family say
  • "He was a thinker, he was a man of great knowledge, he was a scientist, he was an engineer" - close friend and Dhaka University professor Anwar Hossain
____________________________________________

Death threats against atheist writers and bloggers are nothing new in Bangladesh.

Prominent writer Taslima Nasreen had to leave Bangladesh after she received death threats from hard-line Islamists in the mid-1990s.

She wrote on her blog: "Avijit Roy has been killed the way other free thinker writers were killed in Bangladesh. No free thinker is safe in Bangladesh.

"Islamic terrorists can do whatever they like. They can kill people with no qualms whatsoever."

Source: US-Bangladesh blogger Avijit Roy hacked to death

 
kwanza siungi mkono kuuawa kwa huyu jamaa., ila wakati mwingine napata kigugumizi, wiki iliyopita watu wa 3 raiya wa U S waliuwawa kwa kupigwa risasi na mtu anayesemekana anachuki dhidi ya uislam.., hadi Leo hakuna aliyejitokeza kuzungumzia mauaji Yale hasa wale wanaojiita ni watetezi wa haki za binadam, vyombo vya Habari vya u s na kwengineko wamelichukulia ni tukio la kawaida tu, .kumbe akiuwawa asiyekua muislam ni ugaidi ila akiuwawa muislam ni kawaida tu!!!?.ufaransa waliuwawa watu 12 ambapo hadi sasa tukio lile linaonekana ni la kisanii tu lakin viongozi wakubwa dunian waliandamana., mbona hata tamko halitolewi kwa huyu ambaye kaua hadharani!? mbona hapasemwi ni mauwaji ya kigaidi? ...think twice.!
 
Jambazi

Its shameful how humans act like wild animals in the name of religion. What a brave soul the world has lost to those good for nothings!
 
Last edited by a moderator:
extremists think ''communication'' means agreeing with them
 
Sasa kama wanaoamini mungu wanaua wasioamini mungu kinyama hivi, kuamini mungu kuna moral value gani?
 
kwanza siungi mkono kuuawa kwa huyu jamaa., ila wakati mwingine napata kigugumizi, wiki iliyopita watu wa 3 raiya wa U S waliuwawa kwa kupigwa risasi na mtu anayesemekana anachuki dhidi ya uislam.., hadi Leo hakuna aliyejitokeza kuzungumzia mauaji Yale hasa wale wanaojiita ni watetezi wa haki za binadam, vyombo vya Habari vya u s na kwengineko wamelichukulia ni tukio la kawaida tu, .kumbe akiuwawa asiyekua muislam ni ugaidi ila akiuwawa muislam ni kawaida tu!!!?.ufaransa waliuwawa watu 12 ambapo hadi sasa tukio lile linaonekana ni la kisanii tu lakin viongozi wakubwa dunian waliandamana., mbona hata tamko halitolewi kwa huyu ambaye kaua hadharani!? mbona hapasemwi ni mauwaji ya kigaidi? ...think twice.!
Kajipange upya urudi
 
bado kiranga

Hata ukimuua Kiranga, hill halibadilishi ukweli.

Litadhihirisha tu kwamba mungu unayemuamini hawezi kukupa muongozo wa maadili ya kutoua binadamu mwenzako.

Kitu ambacho hata Mimi nisiyeamini kuwepo kwa mungu nakijua.

Kam wanaoamini mungu wanaua watu, na mimi natakiwa kuangalia mifano, je kuna haja kwangu kuamini mungu?
 
Bado msimamo wangu uko pale pale, kuwa hakuna uhusiano wowote kati ya Mungu anaetajwa na Waislam, na Mungu anaetajwa na Wakiristo???
 
wapi umesema huogopi ?

Kutosema siogopi ni kusema naogopa?

Wapi palipokupa wazo la kwamba naogopa mpaka ukaona haja ya kuniambia nisiogope?

Umejiridhisha vipi kwamba naogopa?
 
Kutosema siogopi ni kusema naogopa?

Wapi palipokupa wazo la kwamba naogopa mpaka ukaona haja ya kuniambia nisiogope?

Umejiridhisha vipi kwamba naogopa?

swali linapoulizwa mtu ananyamaza kimya ana maana gani ?

Najua mioyo yetu hujawa na hofu kwa hiyo unatakiwa umpe mtu matumaini

usijali akina sisi hatuui ila wale akina naniliu wanaua kishenzi usitufananishe na wale

be strong hakuui mtu
 
swali linapoulizwa mtu ananyamaza kimya ana maana gani ?

Najua mioyo yetu hujawa na hofu kwa hiyo unatakiwa umpe mtu matumaini

usijali akina sisi hatuui ila wale akina naniliu wanaua kishenzi usitufananishe na wale

be strong hakuui mtu

Hujajibu swali.

Ananyamaza kimya nani? Wapi? Umejuaje kwamba kanyamaza kimya? Kimya hicho kwa swali gani?
 
Ni kukosa utu na uadilifu tu kufikia hatua ya kuua kwa sababu ya kukinzana kiimani.Kama uchawi upo sasa hao wauaji wana tofauti gani na wachawi?
 
Back
Top Bottom