Mwanaasha aanza kidato cha tano

naona watu mnasahau .. Kuna shule sikuhizi hazitumiaa mfumo wa necta!!! Wanatumia cambridge system ... Nazifahamu shule mbili

1) aghan mzizima ya upanga! ...

2)al-muntaziri ya upanga!


Kwa dunia ya sasa .. Mtu mwenye hela zake na hana mpango wa kusoma bongo chuo!.. Anazama kupiga cambridge system! Mwisho wa siku we na one yako ya saba upo udsm .. Yeye pamoja na four yake kafanikiwa ku pass cambridge yupo mbelembele .... Anapiga shule .. Nyie bakini tu na chuki zenu binafsi!! Kufeli form four sio kufeli maisha & na msimeze kwamba bongo system inayokubalika ni necta peke yake... :nono:

kweli kabisa, waeleze. Kufeli mtihani si kufeli maisha! Wangapi walipata division zero saa hizi wanapeta kwa sana? Na binti wa jk tumwache jamani, yeye ni sawa na binti yeyote wa kitanzania na matokkeo yoyote aliyopata ni yake, hayatuhusu!
 
Hivi huyu seneta ndio mtetezi wa Mwanaasha Jakaya Kikwete?au ndio dereva wake kaka utabaki kuwa dereva hadi ufe acha kumtetea kwani kapendelewa wakati credit hana ingekuwa Mbele hata kama babake ni King aisngekubaliwa lkn kwa kuwa Bongo hata mtoto au mwendawazima anaweza kuchaguliwa na ccm magamba aongoze nchi basi sishangai kwa Mwnaasha kuendelea na kidato cha tano kwani hata kama anazo credit ningekuwa mkuu wa shule hapenyezi mtu mwenye Div 4 tena ya 30.kweli Bongo haina mwenyewe
 
hivi huyu seneta ndio mtetezi wa mwanaasha jakaya kikwete?au ndio dereva wake kaka utabaki kuwa dereva hadi ufe acha kumtetea kwani kapendelewa wakati credit hana ingekuwa mbele hata kama babake ni king aisngekubaliwa lkn kwa kuwa bongo hata mtoto au mwendawazima anaweza kuchaguliwa na ccm magamba aongoze nchi basi sishangai kwa mwnaasha kuendelea na kidato cha tano kwani hata kama anazo credit ningekuwa mkuu wa shule hapenyezi mtu mwenye div 4 tena ya 30.kweli bongo haina mwenyewe



mkuu, kwa mtazamo wangu una chuki binafsi na binti kikwete. Umeelezwa ana points 27 na kuonyeshwa matokeo bado unang'ang'ania points 30. Unaelezwa kuwa ni jambo la kawaida mtu asiye na credits 3 kuingia form 5 huku akirudia mitihani ya form 4 hadi apate credits zinazohitajika kufanya mtihani wa form six bado unakazana kusema mwanaasha kapendelewa. Hivi una nini wewe? Kama ulikuwa hujui basi elewa kuwa kuingia form five bila credit kwa shule nyingi za private nchini ni jambo la kawaida kabisa. Hajaanza binti kikwete wala si wa mwisho. Tembelea walau shule moja tu ya private iliyo karibu na wewe ufanye research ndogo tu utapata data za kutosha kukuthibitishia kuwa usemalo hulijui. Na wakati mwingine unapotaka kueleza watu fact fulani hebu fanya utafiti kidogo ili uwe na data za kweli. Nakushauri ukomalie jambo lingine lenye mantiki acha uzushi. Na pia chuki zako binafsi zitakuumiza, zitafutie pa kuzielekeza si kwa binti huyu. Kumbuka 'anger is an acid which brings more harm to the vessel in whichi it is stored in than to the object where it is pored on'.
 
matokeo.jpg
 
He, hivi kumbe ile ZIRO ilibadilika na kuwa FOUR YA 30, na baadaye FOUR YA 27?....au macho yangu yalichanganya namba!...ngoja nitazame, maana nakumbuka niliyasave sehem hayo matokeo! Navyofahamu mfumo wa elimu Tanzania unamtaka mtu asiyekuwa na credits 3 akariri mtihani mpaka azipate ndiyo ataruhusiwa kufanya mtihani wa kidato cha sita. Mtoa mada ametanabahisha kuwa "Mwanaasha hana haja ya kutafuta 'credits' mbili" kulingana na chanzo chake cha habari, sasa inashangaza kuona mtu anatetea na kukomaa kwa nguvu zote kuwa haina ubaya kwa mwanaasha kuingia kidato cha tano, na kuwa "ni kawaida, na wengi wanaingia", kama ni hivyo mitihani inafanyika ya nini? Kufanya kitu kwa mazowea hakuhalalishi uharamu wa kitu hicho! Kuna njia nyingi za kupita kama mtu akikwama kupata credits3 hata kama amesoma saint Kayumba, kama hataki kukariri aende VETA, TARATIBU TUMEJIWEKEA WENYEWE, TUZIFUATENNI!
 
He, hivi kumbe ile ZIRO ilibadilika na kuwa FOUR YA 30, na baadaye FOUR YA 27?....au macho yangu yalichanganya namba!...ngoja nitazame, maana nakumbuka niliyasave sehem hayo matokeo! Navyofahamu mfumo wa elimu Tanzania unamtaka mtu asiyekuwa na credits 3 akariri mtihani mpaka azipate ndiyo ataruhusiwa kufanya mtihani wa kidato cha sita. Mtoa mada ametanabahisha kuwa "Mwanaasha hana haja ya kutafuta 'credits' mbili" kulingana na chanzo chake cha habari, sasa inashangaza kuona mtu anatetea na kukomaa kwa nguvu zote kuwa haina ubaya kwa mwanaasha kuingia kidato cha tano, na kuwa "ni kawaida, na wengi wanaingia", kama ni hivyo mitihani inafanyika ya nini? Kufanya kitu kwa mazowea hakuhalalishi uharamu wa kitu hicho! Kuna njia nyingi za kupita kama mtu akikwama kupata credits3 hata kama amesoma saint Kayumba, kama hataki kukariri aende VETA, TARATIBU TUMEJIWEKEA WENYEWE, TUZIFUATENNI!
hayo maandishi ya red nani kayasema? Uzushi mtupu! Hivi bado tu mnakomaa na hii issue ya mtoto wa watu hadi lini? Simple minds discuss people. Ordinary minds discuss events. Great minds discuss ideas.
Mmmm mie napita tu.:yell:
 
hayo maandishi ya red nani kayasema? Uzushi mtupu! Hivi bado tu mnakomaa na hii issue ya mtoto wa watu hadi lini? Simple minds discuss people. Ordinary minds discuss events. Great minds discuss ideas.
Mmmm mie napita tu.:yell:

Ngoja nikusindikize.
 
Pamoja na kuwa na ufaulu wa daraja la nne points 30,akiwa na C moja,mtoto wa Mkuu wa Kaya,Mwanaasha J.K. Kikwete ameanza rasmi masomo ya kidato cha tano katika shule moja hapa jijini Dar es Salaam.Shule hiyo ambayo haipo mbali na ile aliyomalizia kidato cha nne imempokea kutokana na shinikizo toka kwa familia nambari moja Tanzania."Mwanaasha hana haja ya kutafuta 'credits' mbili" kimenukuliwa chanzo cha habari hii.More to come...

mwezi May ana graduate form 6 sasa sijui na matokea yataletwa kwa mfumo wa namba au majina?
 
Pamoja na kuwa na ufaulu wa daraja la nne points 30,akiwa na C moja,mtoto wa Mkuu wa Kaya,Mwanaasha J.K. Kikwete ameanza rasmi masomo ya kidato cha tano katika shule moja hapa jijini Dar es Salaam.Shule hiyo ambayo haipo mbali na ile aliyomalizia kidato cha nne imempokea kutokana na shinikizo toka kwa familia nambari moja Tanzania."Mwanaasha hana haja ya kutafuta 'credits' mbili" kimenukuliwa chanzo cha habari hii.More to come...

Jamani tumuache binti asome. Akidhurura majungu! Akienda shule majungu! Sasa tatizo la Mwana Asha ni nini? Kama shuleni wamempokea tumuache asome atatafuta Cs Mdogo mdogo huku anapiga Form 5. Tufike mahala tujadili mambo ya msingi, taarifa kama hii ipelekwe kwenye celebrities and gossips. BINTI anatumia fursa na fursa ndio hii sasa unataka awe mwizi? Auze bar? Si napo magazeti yataandika?
 
Acheni uzush,mwana asha yuko uingereza anasoma diploma ya business administration.
 
Hongera JK kwa kuonyesha uzalendo, viongozi wengine wanastahili kuiga huu mfano wa kusomesha watoto wao humu nchini kama watoto wa watanzania wengine.... Kwa hili umenifurahisha sana Mheshimiwa, ingekuwa mwingine hapa huyu binti angekuwa mamtoni sasa hivi.
 
Jamani tumuache binti asome. Akidhurura majungu! Akienda shule majungu! Sasa tatizo la Mwana Asha ni nini? Kama shuleni wamempokea tumuache asome atatafuta Cs Mdogo mdogo huku anapiga Form 5. Tufike mahala tujadili mambo ya msingi, taarifa kama hii ipelekwe kwenye celebrities and gossips. BINTI anatumia fursa na fursa ndio hii sasa unataka awe mwizi? Auze bar? Si napo magazeti yataandika?

Umesema kweli aisee
 
mkuu, kwa mtazamo wangu una chuki binafsi na binti kikwete. Umeelezwa ana points 27 na kuonyeshwa matokeo bado unang'ang'ania points 30. Unaelezwa kuwa ni jambo la kawaida mtu asiye na credits 3 kuingia form 5 huku akirudia mitihani ya form 4 hadi apate credits zinazohitajika kufanya mtihani wa form six bado unakazana kusema mwanaasha kapendelewa. Hivi una nini wewe? Kama ulikuwa hujui basi elewa kuwa kuingia form five bila credit kwa shule nyingi za private nchini ni jambo la kawaida kabisa. Hajaanza binti kikwete wala si wa mwisho. Tembelea walau shule moja tu ya private iliyo karibu na wewe ufanye research ndogo tu utapata data za kutosha kukuthibitishia kuwa usemalo hulijui. Na wakati mwingine unapotaka kueleza watu fact fulani hebu fanya utafiti kidogo ili uwe na data za kweli. Nakushauri ukomalie jambo lingine lenye mantiki acha uzushi. Na pia chuki zako binafsi zitakuumiza, zitafutie pa kuzielekeza si kwa binti huyu. Kumbuka 'anger is an acid which brings more harm to the vessel in whichi it is stored in than to the object where it is pored on'.

Huyu si kwamba haelewi hili isipokuwa ni ushabiki wa kipuuzi ndio unaomsumbua, watu wengine bhana....
 
Ataanzaje kidato cha tano wakati hata matokeo ya kidato cha nne hayajatoka?? Ama anasoma peke ake Mkuu??
 
namfahamu jamaa alikuwa hayupo serious shule alipata div four na c mbili moja ya physics na moja ya maths alirudia somo moja tu akapata c nyingine six akapiga div 1 ya point 3 pcm, chuo akaachana na sayansi akapiga biashara akapiga first class ya bba jamaa amemaliza masters ya ya finance na ana cpa.

Wengi waliofeli form four ni kwasababu ya kutokuwa makini na kutojali na wanajuta na kutamani warudi tena shuleni lakini hakuna tena time.
wewe umejibu swali hujaleta majibu ya kiajabuajabu ambayo hayana prediction.wewe ningekupa like 1000 basi haiwezekani.kufeli maramoja isiwe sababu ya kumsakama.halafu wale ambao wamebahatisha kufaulu wanasema kweli watu waliofeli utafikiri ukoo wao ni maginiaz.yule ni mtu kama wewe anakosea kama wewe.
 
Back
Top Bottom