sir Ganto G
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 573
- 113
..so what?? na wewe inakusaidiaje?
Pamoja na kuwa na ufaulu wa daraja la nne points 30,akiwa na C moja,mtoto wa Mkuu wa Kaya,Mwanaasha J.K. Kikwete ameanza rasmi masomo ya kidato cha tano katika shule moja hapa jijini Dar es Salaam.Shule hiyo ambayo haipo mbali na ile aliyomalizia kidato cha nne imempokea kutokana na shinikizo toka kwa familia nambari moja Tanzania."Mwanaasha hana haja ya kutafuta 'credits' mbili" kimenukuliwa chanzo cha habari hii.More to come...
Duh!! mtoto wa wa Slaa ni kichwa???:blah:
Duh!! mtoto wa wa Slaa ni kichwa???:blah:
mwanaasha alipata 4 ya point 27 na sio point 30, credit anazo zote, fuatilia matokeo yake, acha uzushi,
ni kwel credit zote alikua nazo.na nashangaa miaka yote hyo alikuwa anafanya nn?
Hongera JK kwa kuonyesha uzalendo, viongozi wengine wanastahili kuiga huu mfano wa kusomesha watoto wao humu nchini kama watoto wa watanzania wengine.... Kwa hili umenifurahisha sana Mheshimiwa, ingekuwa mwingine hapa huyu binti angekuwa mamtoni sasa hivi.
pamoja na kuwa na ufaulu wa daraja la nne points 30,akiwa na c moja,mtoto wa mkuu wa kaya,mwanaasha j.k. Kikwete ameanza rasmi masomo ya kidato cha tano katika shule moja hapa jijini dar es salaam.shule hiyo ambayo haipo mbali na ile aliyomalizia kidato cha nne imempokea kutokana na shinikizo toka kwa familia nambari moja tanzania."mwanaasha hana haja ya kutafuta 'credits' mbili" kimenukuliwa chanzo cha habari hii.more to come...
Namfahamu jamaa alikuwa hayupo serious shule alipata div four na C mbili moja ya physics na moja ya maths alirudia somo moja tu akapata C nyingine six akapiga div 1 ya point 3 PCM, chuo akaachana na sayansi akapiga biashara akapiga first class ya BBA jamaa amemaliza masters ya ya finance na ana CPA.
Wengi waliofeli form four ni kwasababu ya kutokuwa makini na kutojali na wanajuta na kutamani warudi tena shuleni lakini hakuna tena time.
Siamini kama bado uko hai mkuu. Wewe na malaria sugu ba babu aspirin nadhani msha kufa siku nyingiacha umbea otherwise utuambie wewe ni muuza bar au dereva tax!!