Mwana kulitafuta mpaka kulipata

Mwana kulitafuta mpaka kulipata

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
58,636
Reaction score
220,349
1595361641333.png
 
Uraiani kugumu
Biashara si yele mama

Ova
 
Hajawahi kulitendea haki jina lake!! Ngoja apigwe na jua kwanza, ila ukuu wa wilaya....
 
Alidhani akiongea shit kuhusu chama kilichomlea ndiyo atapendwa na MaCCM kumbe ndiy kwaanza wamemtilia mashaka wamemtia spana.
Jamaa aliongea mno jmn hata mwanamke Malaya aliyeona pesa ya mteja hajipendekezi kwa kiasi jamaa alivyojipendekeza. Angehama tu kistaarabu. Vipi wale walionyanyaswa kingono nao wanaendeleaje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom