Mkuu rombo
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 1,556
- 422
aiseeeeeee babaangu hayo ndio hasara ya kuoga na maji ya chunvi
Sasa wengine humu mnashangaza wakati kwenye naniii mnakandamiziaga ulimi umo umo sasa nongwa ya nini!
Unajua wakati mwingine ni kuwa mstaarabu tu watu wengine tena wenye heshima zao hufanya mambo haya bila kuwa na staha.swadakta mkuu basi weye wafanya vyema...kuna jamaa nishawahi mshuhudia anasokomeza kidude chenye ncha kali huko kwenye n'nya ili ajikune
Ndio maana tunaambiwa tujihadhari na salamu za kupeana mikonoFungus, hali ya hewa imechafuka...bila kujiangalia tena kwa usafi haswaa hayo mambo mbona ya kawaida.
Dalili za minyoo hizo.........ukichelewesha tiba lazima upate msaada wa kukunwa
1. Minyoo at work
2. Jasho - Uchafu - JAMANI WABABA TUPENDE KUOGA MARA KWA MARA
3. Tiba ya vipele vya jasho ipo ........ mwone daktari fasta
mi nlishawahi ona mtu akijikuna kwa kitana maeneo hayo ati
Dalili za minyoo hizo.........ukichelewesha tiba lazima upate msaada wa kukunwa
huyo lazima ni figganigga